ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 397
- 1,394
Israel ni taifa lenye maendeleo makubwa na uchumi mkubwa as per capita income kuliko mataifa yote middle East
Ni taifa tena lenye technologia kubwa pale middle East
Ni taifa lililopiga hatua kubwa Sana kwenye technologia ya kilimo, anga za juu, uchakaji wa madini, utaalamu wa mambo ya computer, nk.
Ni taifa lenye uwiano mkubwa wa watalaam. Kwa mfano, kwenye idadi ya watu 10000, Israel ina watalaamu 140. Ina maana kwenye watu 10000, Utapata madaktari bingwa 140, ma engineer 140.
Tuache utani, hawa jamaa wamejizatiti.
Ni taifa tena lenye technologia kubwa pale middle East
Ni taifa lililopiga hatua kubwa Sana kwenye technologia ya kilimo, anga za juu, uchakaji wa madini, utaalamu wa mambo ya computer, nk.
Ni taifa lenye uwiano mkubwa wa watalaam. Kwa mfano, kwenye idadi ya watu 10000, Israel ina watalaamu 140. Ina maana kwenye watu 10000, Utapata madaktari bingwa 140, ma engineer 140.
Tuache utani, hawa jamaa wamejizatiti.