Mwembebasha
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 1,424
- 406
we nenda kwenye jina lako,kata gogo na ulale. Tuachie Chadema yetuMtei Kasema Zitto hatakiwi CHADEMA, sisi tunafikiria tunamtoaje wewe unasema tutawanyike tukajenge Chama, Unachekesha sana.
we nenda kwenye jina lako,kata gogo na ulale. Tuachie Chadema yetuMtei Kasema Zitto hatakiwi CHADEMA, sisi tunafikiria tunamtoaje wewe unasema tutawanyike tukajenge Chama, Unachekesha sana.
Kamanda Mawazo samahani hivi Chadema wanakulipa?
hivi wewe unadhani juhudi zako za kuijenga chadema zinazidi zile alizokwishazifanya zitto?- wewe unapata platform ya kuzungumza kwa sababu ulishajengewa mazingira na akina zitto otherwise asingekusikiliza mtu
Wenzako wapo busy wakipambana na ZZK! Wengine hawajala tangia Jana jinsi walivyoumia!
Wengine wapo hoi taabani na pressure, wengine wapo hospital kwa pressure!
Zitto kaijenga cdm au cdm ndo imemjenga zitto?!!! Lini zitto alifanya ziara zake za kuizunguka tanzania kueleza uhalisia wa hali ya nchi na kutoa elim ya uraia kiujumla wake hata kufikia robo ya mawazo?
Zitto kaijenga cdm au cdm ndo imemjenga zitto?!!! Lini zitto alifanya ziara zake za kuizunguka tanzania kueleza uhalisia wa hali ya nchi na kutoa elim ya uraia kiujumla wake hata kufikia robo ya mawazo?
nimeingia jimbo la kishapu kwa ziara ya siku nne,nawaomba wanachadema kupuuza na kutolipa uzito suala la zito.tuiamini kamati kuu na baraza lake,wengine tutawanyike tukajenge chama.
Tusiingie kwenye mtego wa adui wa mabadiliko yaani ccm,wanachotaka ni zogo hizi kuendelea nasi tupunguze kasi ya kuwashughulikia, acheni kulifanya gumzo vijiweni na badala yake tujadili uundaji wa misingi.
Hakuna haja ya kufadhaika na kuhisi kana kwamba kuna tatizo kweli,hakuna tatizo chadema,nawaomba tena na tena muelekeze nguvu zote vijijini ambako hata zito hawamjui wao wanajua chadema.
Piga mkutano pale Mwang'holo pia cdm iko juu pale niliizika CCM pale,kawatie moyo zaidi
unadhanihujitambui wewe dekio-siku ukikamuliwa ndo utawajua hao wazinzi
Huyu Kamanda Mawazo sasa anazunguka kila kona kukitangaza chama anasifiwa na kila mtu, ukitaka uone Kamanda Mawazo hana maana hajaribu kugombea nafasi yoyote makao makuu.
Zzk ndo kajengwa na chadema we pusi.Hongera kwa kazi nzuri ya kujenga chama kamanda lakini ni vyema ukaachana na kutaja jina la ZZK kwa mabaya maana mwenzio akinyolewa na wewe tia maji.
Wenzako walianza hivyo hivyo kujenga CDM wakiwa wadogo sana tena kwa jitihada kubwa sana pengine kuzidi hata wewe kamanda,lakini mwisho wa siku walikuja kuonekana wabaya pale tu walipotofautiana na wanaoitwa WENYE CHAMA. Angalia leo usiitwe kamanda na kesho ukaitwa msaliti pale utakapotofautiana na WENYE CHAMA.
Hivi wewe jamaa huna kazi nyingine????
Kila siku unaleta maneno ya khanga hapa.
MOD's please naomba mtoe huu uzi.
· Paw,
· PainKiller,
· Fang,
· Buchanan,
· Cookie
cc;
Nimeingia jimbo la Kishapu kwa ziara ya siku nne,nawaomba wanachadema kupuuza na kutolipa uzito suala la zito.tuiamini kamati kuu na baraza lake,wengine tutawanyike tukajenge chama.
Tusiingie kwenye mtego wa adui wa mabadiliko yaani CCM,wanachotaka ni zogo hizi kuendelea nasi tupunguze kasi ya kuwashughulikia, acheni kulifanya gumzo vijiweni na badala yake tujadili uundaji wa misingi.
Hakuna haja ya kufadhaika na kuhisi kana kwamba kuna tatizo kweli,HAKUNA TATIZO CHADEMA,nawaomba tena na tena muelekeze nguvu zote vijijini ambako hata Zito hawamjui wao wanajua chadema.
Mtei Kasema Zitto hatakiwi CHADEMA, sisi tunafikiria tunamtoaje wewe unasema tutawanyike tukajenge Chama, Unachekesha sana.
Huyu ni div 5! Hata Jina lake hawezi kuandika! [
Kwani wewe hilo ni jina lako?
Kama ulivyopenda jina lako liwe hivyo Jf naye kapenda liwe vile.ACHA UJUHA HUO