Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,243
Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya Paul Makonda akifanikiwa kumuua Lowasa atapandishwa cheo na kuwa mbunge wa kuteuliwa then atapewa uwaziri mkuu.
Last edited by a moderator:
Yumo sana akisaidiana na wapammbe wake.Lowasa angekuwa yupo humu Jf akaona hizi comment watu wanamvyochukia basi angepoteza pesa zake kuwahonga wahuni wa chache wanaompa moyo atakuja kuwa raisi wa Tanzania .kwani ameambiwa ikulu ni pango la mafisadi kama yeye raisi ajaye atatoka nje ya ccm.
Yumo sana akisaidiana na wapammbe wake.
Gazeti la RAI la leo Alhamisi tarehe 19/02/2015, limechapisha katika ukurasa wake wa mbele taarifa kuwa waziri mkuu aliejiuzulu, bwana Edward Lowassa atishiwa kifo.
View attachment 227847
Katishiwa kifo na nani?
Katishiwa kifo na nani?
Gazeti la RAI la leo Alhamisi tarehe 19/02/2015, limechapisha katika ukurasa wake wa mbele habari kuwa, waziri mkuu aliejiuzulu, bwana Edward Lowassa atishiwa kifo.
View attachment 227847
Huyu jamaa hata upepo ukimpuliza ananguka,kushika kikombe hata kwa dakika hawezi,anatoka makamasi kama mtoto watu wanamfuta,kutembea hata mita moja bila kupumzika hawezi.Lowassa mfu anayetembea
:violin::A S crown-1::bump:😛eace::majani7: haya ni maajabu,gazeti hili ni lake mwenyewe Lowassa halafu linaandika uzushi na habari za kikampeni namna hii.
safari hii tutasikia mengi sana,ngoja tusubiri na hiyo clouds media iliyonunuliwa na swahiba yake Rostam nayo ianze kampeni ya kimtandao namna hii.
shame on you waandishi makanjanja wa tanzania na njaa njaa zenu. only time will tell....
:violin::A S crown-1::bump:😛eace::majani7: haya ni maajabu,gazeti hili ni lake mwenyewe Lowassa halafu linaandika uzushi na habari za kikampeni namna hii.
safari hii tutasikia mengi sana,ngoja tusubiri na hiyo clouds media iliyonunuliwa na swahiba yake Rostam nayo ianze kampeni ya kimtandao namna hii.
shame on you waandishi makanjanja wa tanzania na njaa njaa zenu. only time will tell....
Na ni kweli mkuu.... Mchawi wetu anajulikana, la msingi ni kuzidi kujipanga na kupigana.... Mafanikio yako karibu kupatikana....
Hata mtoto mdogo anajua afya yake ni mgogoro kwanini ung'ang'anie madaraka wkt afya mbovu?
UTALITIA TAIFA HASARA BURE KWANI KILA SIKU UTAKUWA NCHI ZA MAGHARIBI KUTIBIWA KWA GHARAMA ZA SERIKALI.PESA ALIZONAZO ZINAMTOSHA KULA YEYE NA VITUKUU MPAKA KIFO KWANINI ANANG'ANG'NIA MADARAKA?
Ukiona mtu anasemwa sana jua anakubalika sana!!Kama huamin refer kwa Diamond plutinamz