Rai: Lowassa atishiwa kifo

Rai: Lowassa atishiwa kifo

Wezi halisi na mafisadi halisi ndio wanaotaka kumuua Lowassa.
Kumbukeni kauli yake kwa mwenyekiti wa ccm
''Mwenyekiti hakuna nilichokifanya bila maelekezo yako''
''Nilitaka kuvunja mkataba wa Richmond ila wewe ulinizuia kwa kusema umeshauriwa na makatibu wakuu''
Ni haohao waliobeba pesa za escrow kutoka Stanbic bank kwenye magunia.
Am not pro Lowassa ila wabaya wake pengine ni mafisadi zaidi kuliko yeye.
Kama wamedhamiria ni lazima watamuua maana wana machinery and R.I.P in advance
 
Ikitokea kawa rais kuna watu itabidi wakatafute hifadhi za kisiasa nje ya Tanzania.mtu kama sita,mwakyembe.
 
Nafikiri katika hali ya kawaida binadamu hatakiwi kufikia level ya kumwombea binadamu mwenzie afe.
 
Lowassa ni mgonjwa anaweza kuvuta wakati wowote asije kusingizia watu bureeeeeeeeeeeeeee.
 
Ukiona mtu anasemwa sana jua anakubalika sana!!Kama huamin refer kwa Diamond plutinamz
 
Promo ya kiaina....si mchezo! tutaimbishwa EL mpaka tukome.....wanafunzi yeye, kutishiwa yeye...n.k yeye.....kimebaki nini sasa....na hii ni february tu! Huko mbele tutaona na kusikia mengi mwaka huu!
 
Lowassa ni mwiba mkali kwa wale wengine wanaotaka kuwania urais wa Tanzania.Hakuna hata mmoja kwa wale wanaotajwa ana karibia uwezo wa huyo jamaa.

Book 10 na msosi aliokupa ndo vinakupa nguvu ya kuongea
 
Back
Top Bottom