Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,198
- 162,746
- Thread starter
- #81
Huyu Lowasa hata ukija upepo mkali anaweza kafa kweli
Mhhhh!hizi siasa sasa!
Huyu Lowasa hata ukija upepo mkali anaweza kafa kweli
Utaanza kufa wewe kima mwitu.Lowassa ni chaguo la mungu.
Endeleeni kumlinda mwinzi mwenzenu lakini muda mkifika hatoweza kumlinda
Mchawi wetu tunamfahamu hatusumbui.
Azma yetu ya ikulu itatimia taka msitake.
Ahsante sana kwa kutuhakikishia kuwa azma yenu ya ikulu itatimia. Mkuu naomba utufafanulie kwa undani,
1. Ni nini hasa malengo yenu ya kuazimia kuingia ikulu?
2. Na mkisha kuingia ikulu tueleze taratibu mtakazotumia kutimiza malengo yenu?
Nitashukuru sana unipatia majawabu ya maswali hayo hapo juu.
Chaguo lako na familia yako.Lowasa anaweza kukimbia mitaa 100
Azma yetu ya ikulu itatimia taka msitake.
Acha afe kwani anafaida gani fisadi mkubwa huyu.
Ikulu hakuna wodi ya wagonjwa
acha tabia ya kishetani wewe.shetani pekee ndo anayeombe watu wafe utamtangulia wewe nyamaafu wewe
Taratibu naanza kufahamu nia za baadhi ya wapiga debe wa wagombea na wagombea wenyewe.Majibu yote wanayo wananchi wa Tanzania.
Ahsante sana kwa kutuhakikishia kuwa azma yenu ya ikulu itatimia. Mkuu naomba utufafanulie kwa undani,
1. Ni nini hasa malengo yenu ya kuazimia kuingia ikulu?
2. Na mkisha kuingia ikulu tueleze taratibu mtakazotumia kutimiza malengo yenu?
Nitashukuru sana unipatia majawabu ya maswali hayo hapo juu.
ugonjwa analionao ndiyo uliomtishia kifo, kwa sababu umemfanyia hisani kubwa ya kumbakiza mpaka sasa.ye mwenyewe ameshajifia,nani amuue
Kwani tunamtafuta mwanariadha?