Rai: Lowassa atishiwa kifo

Rai: Lowassa atishiwa kifo

Kachelewa kuuliwa. Ilikuwa afe tangu alipoleta kampuni feki ya richmond na kwa kushirikiana na mapacha wake kikwete na rostam walikuwa wanalamba 152 milioni kila siku.
Km kuuawa na auawe tu
 
Watanzania hatujachoka na "muvi" za ccm... Kila wakati wa uchaguzi ni style hiyohiyo... hivi sisi ni mazuzu??

cant we just change the system??
 
Sarakasi imeanza!
Hata hili la Amboni laweza kuwa watu wako kwenye mazoezi /mipango.Eti wamekimbia?
 
mkuu hata kama humpendi lowasa sio vizuri kumuombea kifo.

Kweli ndugu zangu. Kwanini kumwombea kifo mtu? Kufa na kuishi ni mpango wa Mungu. Ni uungwana wa wamajamii na wanajamvi wote kustahimili TOFAUTI zetu bila kutakiana mabaya!
 
Chanzo cha habari ni nini? Ukiona habari yoyote kwenye gazeti imeandikwa na MWANDISHI WETU ujue ni majanga ndio maana kubenea anapata sifa kubwa kwa habari za uchunguzi kwaanza anaweka jina lake sasa hii Habari imeandikwa na nani ina maana RAI haijui majina ya waandishi wake
 
Kwa kuangalia mpangilio wa Ukurasa wa kwanza wa gazeti la Rai la tarehe 19.2.2015, nna maoni yafuatayo:
1. Huenda huu ukawa ni mpango ama mkakati wa "kumfagilia" ndugu Lowassa. Nnaona akiwa katika picha kubwa, ameshika kifimbo chenye alama ya bendera ya Taifa, wakati wanasiasa wengine, Mbowe na Kinanawakiwa katika picha ndogo wanaangaliana (kama vile wanakabiliana), wakihinikizwa na habari kuwa vyama vyao vinaharibu nchi.kwangu mie huu mpangilio siyo bahati mbaya.
2. Mwandish/Mhariri analenga "kutafuta huruma" za watu (na wapiga kura?) kuwa Muhusika anawindwa "kwa sababu yuko juu kisiasa".
3. Habari haina chanzo cha kuaminika... Habari imejificha chini ya kivuli cha "Rai imebaini". Hapa naona kuwa..... Yuko katika hali ya sintofahamu baada ya kupokea taarifa toka vyanzo tofauti..... ingefaa, katika hali ya kawaida ya maadili ya Uandishi mahiri... kumtumia/kumtaja MHUSIKA kama chanzo cha habari tajwa.
 
Kwa kuangalia mpangilio wa Ukurasa wa kwanza wa gazeti la Rai la tarehe 19.2.2015, nna maoni yafuatayo:
1. Huenda huu ukawa ni mpango ama mkakati wa "kumfagilia" ndugu Lowassa. Nnaona akiwa katika picha kubwa, ameshika kifimbo chenye alama ya bendera ya Taifa, wakati wanasiasa wengine, Mbowe na Kinanawakiwa katika picha ndogo wanaangaliana (kama vile wanakabiliana), wakihinikizwa na habari kuwa vyama vyao vinaharibu nchi.kwangu mie huu mpangilio siyo bahati mbaya.
2. Mwandish/Mhariri analenga "kutafuta huruma" za watu (na wapiga kura?) kuwa Muhusika anawindwa "kwa sababu yuko juu kisiasa".
3. Habari haina chanzo cha kuaminika... Habari imejificha chini ya kivuli cha "Rai imebaini". Hapa naona kuwa..... Yuko katika hali ya sintofahamu baada ya kupokea taarifa toka vyanzo tofauti..... ingefaa, katika hali ya kawaida ya maadili ya Uandishi mahiri... kumtumia/kumtaja MHUSIKA kama chanzo cha habari tajwa.
That why nimesema habari mbovu kabisa kwanza mwandishi ni nani chanzo cha habari wapi ? uko sawa ndugu yangu
 
mkuu hata kama humpendi lowasa sio vizuri kumuombea kifo?

Hizi njama za midimu inayonuka damu hazitafanikiwa Mungu baba uishie mahali patakatifu mlinde mja wako na rais wetu mtarajiwa Edward Ngoyai Lowasa ajenge mwamba imara kama maandko yako matakatifu yanavyosema
 
Hizi njama za midimu inayonuka damu hazitafanikiwa Mungu baba uishie mahali patakatifu mlinde mja wako na rais wetu mtarajiwa Edward Ngoyai Lowasa ajenge mwamba imara kama maandko yako matakatifu yanavyosema

Mungu amlinde na dr.silaha kwani yeye na lowasa ni waja wako Mungu wenye nia ya kweli ya kujenga msingi wako kama petro...wanuka damu watajiteketeza wao wenyewe mchana kweupe na vbaraka wao waganga njaa wanaoropoka na kupga wazee na kuwatukana wazee ambao ni tunu za taifa
 
Chanzo cha habari ni nini? Ukiona habari yoyote kwenye gazeti imeandikwa na MWANDISHI WETU ujue ni majanga ndio maana kubenea anapata sifa kubwa kwa habari za uchunguzi kwaanza anaweka jina lake sasa hii Habari imeandikwa na nani ina maana RAI haijui majina ya waandishi wake

hawawajui majina-umenichekesha sana
 
Back
Top Bottom