Rai: Lowassa atishiwa kifo

Rai: Lowassa atishiwa kifo

Wandishi wa magazeti waache kupotosha jamii Lowasa ndiye anaongoza kwa umafia kwa kutumia kundi lake leo yeye atishiwe kifo na nani acheni uandishi njaa.
 
lakini kwa haya magazeti kila siku ni lowasa tu

Lowassa ni mwiba mkali kwa wale wengine wanaotaka kuwania urais wa Tanzania.Hakuna hata mmoja kwa wale wanaotajwa ana karibia uwezo wa huyo jamaa.
 
Msimkweze sana huyu jamaa. Urais hapati. Nawe Lowasa acha kutumia pesa kuhonga watu wakuweke mtandaoni kila kukicha. Tumekuchoka vibaya mwizi we.
 
naombeni jina la mhariri mkuu wa hili gazeti nataka atwambie kua kuchapa picha ya mungu wa mondoli kwenye ukurasa wa mbele kachukua shng ngap? mana Nipashe Wao Walikataa 17mls.
 
Gazeti la RAI la leo Alhamisi tarehe 19/02/2015, limechapisha katika ukurasa wake wa mbele taarifa kuwa waziri mkuu aliejiuzulu, bwana Edward Lowassa atishiwa kifo.

CHANZO:RAI(magazeti star tv)

niwafahamishe tu hicho anachosema kutishiwa kifo si kwamba kuna watu watamfata na kumkolimba au kumULIMBOKA nop ni kwamba ametishiwa KIFO kupitia njia ya kiti cha MAGOGONI. kwanza kupanguliwa kwa safu yake ya ushindi kupitia wakuu wa wilaya na kuwekwa wabaya wake kama kina MAKONDA hiyo ni moja ya kitisho cha kifo. pili amepata taarifa kuna mtu ambae alikuwa hajatangaza nia kwa muda mrefu na hivi majuzi tu kaamua kuweka wazi kuwaaa anaenda kukalia hicho kigoda cha magogoni. hii imeanza kumtia presha na mwishowe ndio itasababisha KUDEDI kwake bila kushambuliwa. stay tune!!!
 
Na aliyemtisha ni yule aliyemuuwa Balozi wa Libya na Padre Komba..... Membe hafai hata kidogo ni muuaji mkubwa.....
 
naombeni jina la mhariri mkuu wa hili gazeti nataka atwambie kua kuchapa picha ya mungu wa mondoli kwenye ukurasa wa mbele kachukua shng ngap? mana Nipashe Wao Walikataa 17mls.

Mji. Nga mkubwa boss wenu anatishia watu kifo then mnafuraia.... Kama issue ni gazeti kwa nini asingempa Shigongo hiyo 17
 
Hakuna wa kumuua Lowassa,Nyumba ya watu aliyotaka kuzulumu ndiyo inayomletea ndoto za kifo.
 
Hakuna mwenye hati miliki na nchi hii... Simama uhesabiwe!
 
Msimkweze sana huyu jamaa. Urais hapati. Nawe Lowasa acha kutumia pesa kuhonga watu wakuweke mtandaoni kila kukicha. Tumekuchoka vibaya mwizi we.

Huu mwaka mgumu sana! Tutasikia mengi sana!! Uteuzi wa Paul Makonda usije kuwa chanzo na tishio la kifo chake cha kupata urais na siyo tishio la kutoa uhai wake.
 
Back
Top Bottom