Yan hili zee sijui likoje, ni kichaaa na zezete, amebaka mtoto, au kw sababu ya mambo ya kishirikina?
Namsifu Lema alimbaka yule changudoa (hili linajadilika)
sura zingine ukiangalia tu bila vipimo unajua tu kuna uwalakini
mkuu prs hao uliowataja sio wapenzi wa ccm,ni jihadists kikwete akimaliza muda wake hutowasikia tena wakiitetea ccm,believe when i say.
Mama Makinda,Sophia Simba, kumbukeni muosha huoshwa huyo mtoto sio wa kwenu ila madaraka mliyonayo mlipaswa mseme kitu ila mmenyamaza kimya. Endeleeni hivyohivyo ila Mungu hatonyamaza kamwe
Kazi kwelikweli!! Inaonekana amewaambukiza ukimwi wengi!!! Kumbe hii ndiyo ilani ya CCM!!
"Sisi ndio wenye nchi"
"Watoto wetu wanauza unga hawakamatwi"
"nitawauwa "
"Nitakunywa sumu"
By Kapuya (MB) Waziri wa JMT
Sijui kama kweli ni Professor, Sijui aliupataje huo uwaziri. Je ni kweli HIV huharibu ubongo kiasi hichi? CCM mnamaliza nchi hadi kwa ukimwi? Tuliwakosea nini sisi Watanzania hadi mtufanye hivi?
Hebu tujiulize swali moja kama babu Seya alihukumiwa fasta fasta kwenda jela maisha yake kwa tuhuma za kuvibaka vitoto vya shule,ni kwa nini huyu Kapuya asikamatwe na kurundikwa ndani hadi hivi sasa?
Kama hilo la kumkamata na kumfungulia mashitaka ya kubaka Kapuya lisipofanyika haraka iwezekanavyo,tafsiri tutakayopata waTZ ni kuwa kumbe hata ibara iliyomo kwenye katiba ya Jamhuri ya Tanzania,inayosema watanzania wote wako sawa mbele ya sheria kumbe nayo ni maigizo,kwa kuwa in reality ndani ya TZ wapo watu wapo above law,kama alivyokiri mwenyewe Kapuya,kuwa wao.ndiyo wenye nchi,hawawezi kufanywa lolote,na zaidi ya yote ametamba kuwa yeye ndiye the next PM,after 2015 general elections!!
Sasa nimeprove beyond reasoanable doubt kuwa madudu yanayofanywa na watawala wetu hapa TZ,yanaweza.kabisa kuyafanya yaqualify kuwa miongoni ya Guiness World records!!