Rahma Al Kharoos anatafuta Ubunge?

hamuongei chochote hapa, mnafichaficha nini kama mambo mnayoongea ni ya kweli? ongeeni openly kama kitu ni cha kweli, sisi wengine hata hatujajua mnaongelea nini haswa.
 
............Kumbe huyu mama ni mke mdogo wa rais mhhh mbona kazi. Kama ni kweli basi kazi ipo.
 
Sasa kila Mtu akitaka ainngie mjengoni, kwa staili hii nani tena atakuwa pembeni??







HAWA WATU WAPO VERE VERE STRATEGIC...





Ngoswe picha ya juu kabisa mmh inakuwaje? wapi hapo? mbona vivazi vinaacha sehemu za kulishia watoto nje? (huyo haonekani sura ila....) wapi hapo? tukio lipi? valentine? mbona maua?
 
nadhani tumesahau kuwa uzuri wa nyumba kwa nje si usafi wa ndani
heheee hata hivyo kuna haja ya kuwa makini,

ni nani aupandaye mdizi? tena asile matundaye?
 

Is she Tanzanian?
 
Wakubwa, mnaongea kwa mafumbo hivi mwadhani ni wote tunaishi Tz na hizi kampeni twazishuhudia? Twambieni ni nani huyo kumbukeni "where we dare talk openly" sasa mafumbo ya nini? Hivi huyu binti wa Bhanji si ameolewa na Msanii mmoja hapo Bongo?
 
............Kumbe huyu mama ni mke mdogo wa rais mhhh mbona kazi. Kama ni kweli basi kazi ipo.


Kumbe sikuwa peke yangu!! Hata mimi nilikuwa najiuliza alikotokea huyo mrembo na kuanza kumwaga mafweza kama hana akili!! Sasa dot zangu zimesogea kidogo!

Ila mkulu ni hatari sana wa kutafuta vimwana, ...sifa ya kwanza ni ile inayowatesa wasukuma!! Angekuwa anatokea Nasa angekomba mazizi yake yoote...

Mhhhhh, ....Mombo ngafu!!!
 
Mnamuonea huyu dada. Kumbe alianza zamani kuchangia soka la wakina mama!

Amandla....
 
Tatizo si kugombea...bali namna atakayotumia kugombea ili apate uongozi naona inamatatizo...ameshaanza kumwaga fedha na hatari yote ipo hapa, kama atagombea on her own merit, mi sina tatizo kabisa...yatakayobakia ni majungu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…