Rahma Al Kharoos anatafuta Ubunge?

Rahma Al Kharoos anatafuta Ubunge?

"Aliwataja walioahidi kutoa fedha hizo kuwa ni pamoja na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Yusuph Makamba aliyeahidi Sh. Milioni 20"

Du kweli Tanzania siku hizi nchi ya kibepari, Makamba ana biashara gani ya kuchangia kutoa Mil20? Katibu mkuu wa CCM siku hizi inaonyesha si mchezo! Just about 20 yrs ago zaidi ya heshima vyeo hivi ilikuwa ni umasikini tu! Sana sana ni nyumba bure, gari bure na utaambulia tuzawadi wakati wa kustaafu.
 
Tatizo la wadanganyika wengi ni wivu, chuki, fitina, uroho, upumbavu, ujinga n.k.

Kwani mtu kuwa na pesa zake na kuutaka ubunge ni kosa? Mbona Mzee Ndesa ni bilionea na bado ni mbunge? Mbona mama Lwakatare ni bilionea na bado ni mbunge? Wakili Mkono na wengine wengi ni mamilionea wa kutupwa na bado wanang'ang'ania ubunge sembuse huyo al hadoud? Chuki zenu zinawapeleka pabaya na hasa pale mnapozionyesha hadharani kuhusu mtu fulani au jamii fulani au kikundi fulani.Leo mnalilia maximo mwingine wakati pesa za kumlipa zinatoka ikulu,kwanini msiamue kuchangia wenyewe na kumlipa ili hizo za ikulu zinunue madawati?

Amejitokeza mwanamama shupavu wa kuchangia taifa lake katika michezo mnaanza ooh ushuzi, kajamba mtakufa bure na vijiba vya roho.Acheni ujinga fanyeni kazi na si kufuatilia mambo ya watu,taifa masikini kwa mtaji huo lazima mtaendelea kuwa masikini wa kutupwa na kutawaliwa kila siku. Najua hapo angekuwa anatoa misaada yule ambaye si miongoni mwa mliyetumwa kuwatenga katika mipango yenu basi mngeanza kumsifia yule anafaa sana.

Upumbavu huo hautoisha hadi mbadili yaliyomo katika vifua vyenu. Nimekumbuka mhanga mmoja alisema "La kama mngeyajua yaliyomo vifuati mwao wala msingewafanya hao kuwa marafiki na vipenzi vyenu", sasa chuki zao zimeanza kujionyesha hadharani.

Ukichukia chukia kwasababu huniongezei siku za kuishi hapa duniani,muda wangu ukifika nitajifia na si kuendekeza ujinga na upuuzi wa aina hiyo.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Kwani kuna ubaya gani?Mwaache agombee sababu kila mtu yuko huru kugombea na kam hammtaki msimpe kura zenu..
 
Nimemuona huyu mrembo nami nikashtuka na kuwaza mbona ameamua kujitokeza kwenye public??

Niliwahi kudokezwa na mtu ambaye yuko 'connected' kwamba huyu mama ndo bi mdogo.

Kwa update tu, jana amemwaga Tsh. 10 million kwa kituo cha watoto yatima kigamboni kinachomilikiwa na Mwanamitindo Khadija Mwanamboka.

TV station zote hapa mjini zilirusha tukio hilo kwenye taarifa zao za habari kwa kina na nafasi kabisa!!
 
Wanasiasa wetu wapo kwa ajili yao na sio wewe Masanilo au Mtanzania yoyote kwa hiyo dispensari unayoiwaza wewe wao hawana shida nayo after all nani atakutangaza kwenye hayo.
 
huyu na mama salma nani mrembo??mie kura yangu inaenda kwa mama salma teh teh!
 
Sina shida na misaada anayotoa kwani wako wengine wanafanya hivyo kipindi hiki; isipokuwa amezidi sana kwenye vyomobo vya habari na sana sana imetusaidia kum-scrutinise kwa karibu. Kama kweli anataka ubunge, basi agombee kwenye jimbo mojawapo!

Lakini hili lakuwa 'nyumba ndogo' ya mkuu wa kaya limetoka wapi?
 
Tatizo la wadanganyika wengi ni wivu, chuki, fitina, uroho, upumbavu, ujinga n.k.

Kwani mtu kuwa na pesa zake na kuutaka ubunge ni kosa? Mbona Mzee Ndesa ni bilionea na bado ni mbunge? Mbona mama Lwakatare ni bilionea na bado ni mbunge? Wakili Mkono na wengine wengi ni mamilionea wa kutupwa na bado wanang'ang'ania ubunge sembuse huyo al hadoud? Chuki zenu zinawapeleka pabaya na hasa pale mnapozionyesha hadharani kuhusu mtu fulani au jamii fulani au kikundi fulani.Leo mnalilia maximo mwingine wakati pesa za kumlipa zinatoka ikulu,kwanini msiamue kuchangia wenyewe na kumlipa ili hizo za ikulu zinunue madawati?

Amejitokeza mwanamama shupavu wa kuchangia taifa lake katika michezo mnaanza ooh ushuzi, kajamba mtakufa bure na vijiba vya roho.Acheni ujinga fanyeni kazi na si kufuatilia mambo ya watu,taifa masikini kwa mtaji huo lazima mtaendelea kuwa masikini wa kutupwa na kutawaliwa kila siku. Najua hapo angekuwa anatoa misaada yule ambaye si miongoni mwa mliyetumwa kuwatenga katika mipango yenu basi mngeanza kumsifia yule anafaa sana.

Upumbavu huo hautoisha hadi mbadili yaliyomo katika vifua vyenu. Nimekumbuka mhanga mmoja alisema "La kama mngeyajua yaliyomo vifuati mwao wala msingewafanya hao kuwa marafiki na vipenzi vyenu", sasa chuki zao zimeanza kujionyesha hadharani.

Ukichukia chukia kwasababu huniongezei siku za kuishi hapa duniani,muda wangu ukifika nitajifia na si kuendekeza ujinga na upuuzi wa aina hiyo.

Mungu ibariki Tanzania.
Hongera kwa mpasho bibi, sadaka yatolewa bila mkono wa kushoto kujua lipi limetolewa kwa mkono wa kulia. Hofu imetolewa hakuna haja ya kutoa matusi. Hukmu yake inahitaji muda, vuta subira uone mambo kama yatatimia.
Vipi la nyumba ndogo weye hujalipata! Yaonesha una hasira na wenye wivu, ndo mapenzi basi:target::target:
 
Aliwataja walioahidi kutoa fedha hizo kuwa ni pamoja na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Yusuph Makamba aliyeahidi Sh. Milioni 20, Superdol Sh. Milioni 3, Scandinavia Sh. Milioni 2, hoteli ya Paradise Sh. Milioni 2, familia ya Kapinga Sh. Milioni 1.5 na Mkurugenzi wa Masoko na Udhamini wa Vodacom Sh. 300,000

Hapo penye red panawiana kwa karibu saaana!
 
Waungwana, ingawa jina la huyu mama Rahma Al kharoos al kharoos kwa sasa linaonekana kuwa kubwa lakini utafiti wangu mdogo kwenye google haukunionyesha umuhimu wowote ambao anaonekana kuwa nao huyu mama.

Pamoja na kuwa kampuni yake
RBP OIL & INDUSTRIAL TECHNOLOGY (T) LIMITED inaonekana kutaka kujenga kiwanda cha kusafishia mafuta (kama ilivowahi kuripotiwa na gazeti la East Afrcan huko nyuma) na kujenga bomba la mafuta lakini kampuni hii haina website wala address. Wala haina kampuni mama huko inakotoka.

Nashindwa kabisa kuelewa inakuwaje kampuni hii ifiche details zake kiasi hiki. Huyu mama anaonekana kwenye likendly tu na profile yake ni kidogo sana hapo. Nadhani kuna usanii wa namna fulani ndani ya hili suala.

 
Nimemuona huyu mrembo nami nikashtuka na kuwaza mbona ameamua kujitokeza kwenye public??

Niliwahi kudokezwa na mtu ambaye yuko 'connected' kwamba huyu mama ndo bi mdogo.

Kwa update tu, jana amemwaga Tsh. 10 million kwa kituo cha watoto yatima kigamboni kinachomilikiwa na Mwanamitindo Khadija Mwanamboka.

TV station zote hapa mjini zilirusha tukio hilo kwenye taarifa zao za habari kwa kina na nafasi kabisa!!

Mkuu hata ITV ilirusha tukio hilo? Ni saa ngapi hiyo? Sijaona hata chembe!!! Ningeshangaaaaa mnooooo! Lo! Labda kama unamanisha Chanel 10, Star Tv na TBC1 ambazo sifuatilii taarifa zao labda iwe bahati mbaya!

 
Kaazi kweli kweli!

Baba Rais, then Mama ndani ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) hii haina tofauti na UWT, mama mdogo anataka Ubunge, Ridhiwan ameteka UVCCM na Khalfani amewekwa ndani ya Chipukizi. Yaani hapo zinaandaliwa generations 3 ziende kwa kupokezana vijiti mpaka mwisho.

Kikwete anaweka familia kila kona. Tusubiri kuona teuzi za ajabu ajabu za wabunge wa kuteuliwa.
 
Ubungeeee.....mwaka huu tutaona mengi sana sanaa.....na badooo
 
Haluuu, nilikuwa najiuliza sana huyu mwanamke ametokea wapi ghafla namna hii?? na anatafuta nini kwa kumwaga pesa namna hii?? kumbe ni small house!! da sasa waTZ hizi nyumba zetu ndogo tunaziendekeza mno KHAAAAAAAAAAAAAAAAA! kumbe mkuu wa kaya ana balaa namna hii haya wadanganyika sasa mpira kwenu hapo kuna KIONGOZI kweli?
 
Haluuu, nilikuwa najiuliza sana huyu mwanamke ametokea wapi ghafla namna hii?? na anatafuta nini kwa kumwaga pesa namna hii?? kumbe ni small house!! da sasa waTZ hizi nyumba zetu ndogo tunaziendekeza mno KHAAAAAAAAAAAAAAAAA! kumbe mkuu wa kaya ana balaa namna hii haya wadanganyika sasa mpira kwenu hapo kuna KIONGOZI kweli?

Hii ni hatari kama kuna ukweli ndani yake nazidi kumvulia kofia
 
Niliwahi kudokezwa na mtu ambaye yuko 'connected' kwamba huyu mama ndo bi mdogo.
Wa JF wenzangu, naomba tujitahidi kutenganisha, tetesi na habari ambazo ni too personal na kutochanganya privacy za watu na puclic rights.

Huyo mama ni Mtanzania kama walivyo watanzania wengine, anazo haki zake kikatiba kugombea nafasi yoyote kupitia chama chochote na wala isiwe issue, kama ilivyo kwa Riz, lazima atachukua fomu ya ubunge 2010 ili 2015 aukwae uwaziri na 2025 apande ghorofani.

Ila pia Mkuu wa nchi ni publi figure paid by taxpayers money, hivyo taxpayers wana right ya kuijua his public as well as his private life/conduct kwa sababu analipwa kwa jasho lao.

Hivyo mimi nauliza hivi, kama hii issue ya 'jumba dogo' ni kweli, Watanzania tunahaki ya kupatiwa taarifa rasmi, mbona Mzee Mwinyi it was rasmi Bi Khadija na Mama Sitti, na ikakubalika the official one ni Mama Sitti. Hivyo hata kama Mama Salma ndio official 1st Lady, tunahaki ya kumtambua ma-mdogo ambae ni 2nd Lady.
 
Wa JF wenzangu, naomba tujitahidi kutenganisha, tetesi na habari ambazo ni too personal na kutochanganya privacy za watu na puclic rights.

Huyo mama ni Mtanzania kama walivyo watanzania wengine, anazo haki zake kikatiba kugombea nafasi yoyote kupitia chama chochote na wala isiwe issue, kama ilivyo kwa Riz, lazima atachukua fomu ya ubunge 2010 ili 2015 aukwae uwaziri na 2025 apande ghorofani.

Ila pia Mkuu wa nchi ni publi figure paid by taxpayers money, hivyo taxpayers wana right ya kuijua his public as well as his private life/conduct kwa sababu analipwa kwa jasho lao.

Hivyo mimi nauliza hivi, kama hii issue ya 'jumba dogo' ni kweli, Watanzania tunahaki ya kupatiwa taarifa rasmi, mbona Mzee Mwinyi it was rasmi Bi Khadija na Mama Sitti, na ikakubalika the official one ni Mama Sitti. Hivyo hata kama Mama Salma ndio official 1st Lady, tunahaki ya kumtambua ma-mdogo ambae ni 2nd Lady.


Pasco,

How can there be objectivity and transparency when the Head of State AND the Spouse (First, or Second Lady) are also at the VERTICE?

Are we a MONARCHY or a DEMOCRACY?

Answer that, please.

Privacy MY ASS!

./Mwana wa Haki
 
Back
Top Bottom