Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,172
"Aliwataja walioahidi kutoa fedha hizo kuwa ni pamoja na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Yusuph Makamba aliyeahidi Sh. Milioni 20"
Du kweli Tanzania siku hizi nchi ya kibepari, Makamba ana biashara gani ya kuchangia kutoa Mil20? Katibu mkuu wa CCM siku hizi inaonyesha si mchezo! Just about 20 yrs ago zaidi ya heshima vyeo hivi ilikuwa ni umasikini tu! Sana sana ni nyumba bure, gari bure na utaambulia tuzawadi wakati wa kustaafu.
Du kweli Tanzania siku hizi nchi ya kibepari, Makamba ana biashara gani ya kuchangia kutoa Mil20? Katibu mkuu wa CCM siku hizi inaonyesha si mchezo! Just about 20 yrs ago zaidi ya heshima vyeo hivi ilikuwa ni umasikini tu! Sana sana ni nyumba bure, gari bure na utaambulia tuzawadi wakati wa kustaafu.