Raha ya wanawake wafupi

Raha ya wanawake wafupi

Wanawake wafupi wana maneno mengi, wanapata marafiki kirahisi ila hawatunzi siri,ni wakorofi wanapochukia, ni wahuni( kuwa na wanaume wengi) pia ni wasaliti sana.Rudia utafiti wako !!
Naona bro hapa unaongea kwa hasira sana.
Huenda umetendwa. Lakini huyo mmoja hawezi akaondoa ukweli. Watoto wafupi wapo fresh sana. Unatakiwa kuwaelewa saikolojia yao. Ukiwaelewa tu wala hutagombana nao.
Wafupi ni wepesi sana kusamehe na huwa hawana visasi.

Warefu wanavisasi vya kufa mtu. Huwa wanaweka vitu moyoni na hawaongei sana zaidi ya kuleta madhara bila hata majadiliano.

Wafupi hutoa hisia zao hadharani na hupenda kusikilizwa. Ukiwa mbabe hamtawezana nao. Unatakiwa ujue saikolojia ya wanawake wafupi.
 
Naona bro hapa unaongea kwa hasira sana.
Huenda umetendwa. Lakini huyo mmoja hawezi akaondoa ukweli. Watoto wafupi wapo fresh sana. Unatakiwa kuwaelewa saikolojia yao. Ukiwaelewa tu wala hutagombana nao.
Wafupi ni wepesi sana kusamehe na huwa hawana visasi.

Warefu wanavisasi vya kufa mtu. Huwa wanaweka vitu moyoni na hawaongei sana zaidi ya kuleta madhara bila hata majadiliano.

Wafupi hutoa hisia zao hadharani na hupenda kusikilizwa. Ukiwa mbabe hamtawezana nao. Unatakiwa ujue saikolojia ya wanawake wafupi.
Kama vile nami niko hvo eh!!!! Kaukweli haka buana.
 
Short chassis bana ni wazuri sana nime experience wote warefu na wafupi,warefu huwa wanamajivuno sana na kutaka kushindana na mwanaume ila ma short chassis huwa hawana hizo,wanapenda kusikilizwa halafu hawatunz bifu shida yao ni moja tu wabishi sana pale mnapopishana kauli au akufumanie timbwili lake utajuta.!
 
Kweli wako poa,ila mim kuna sehemu moja tu ndo huwa siwapendi,ikitokea umeenda nae disko sijui utacheza nae vp wakat kiuno chake kinakufikia magotini,
 
Yaani mwanamke mfupi ukimvua nguo zote halafu umkunje kifo cha mende ainue miguu juu, utamwonea huruma...utafikiri unachinja sungura, maskini wa mungu.

Tuwaonee huruma
 
sema tuu wana ghubu sana kama sandwich iliyochacha
 
Nawasalimia wana JF.

Hebu leo ngoja niongelee ka utafiti kangu nilikokafanya. Kwanza mimi ni mrefu wa wastani naweza kusema nipo na 180.3cm.

Nimetokea kuwapenda sana wanawake wafupi. Kwanza hawa wanawake wanajituma sana katika kila kona.

Ni wabishi sana na hawapendi kushindwa. Pia ni wakorofi sana hawapengi kuona msichana mwingine anachukua bwana wake. Lazima kinuke.

Wanawake wafupi walio wengi ni wasafi sana wanapenda kuvaa vizuri. Kwa kweli ule ukorofi wao huwa naupenda sana nahisi ninapendwa na nipo na ulinzi.

Halafu hawa wanawake walio wengi wanajua kupika tena chakula kizuri sana.

Hawa wanawake wafupi hupenda kuonesha mahaba kwa wapenzi wao. Wapo tayari kupigana busu la ulimi hadharani bila hata woga. Huonesha hisia zao hadharani bila kuficha.

Kwa kweli kutokana na uafiti wangu huu wa sample ya watu kadhaa. Watu wafupi wamepata 79% katika kuonesha mapenzi ya dhati. Na kwakweli wanatoa raha ya ukweli. Walio wengi sio magogo.

Nawasilisha hoja.
Picha pls
 
Hawa wanawake ni short chases, superoof, doubledeef, for wheel drive auto transmission wana intercooler wana rurbo Nyuma atar, had top
 
ha ha ha ha short chasis zina gubu af vikorof sana aiseee
 
Back
Top Bottom