Lyn Vivac
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 858
- 1,024
Nakuja, nitumie elf50 ya tax. Huku bodaboda zipo mbali. Na nina namba ya dreva tax tu.basi njoo tuyajenge, mwenzio ndo ugonjwa wangu,hasa ukizingatia me ni mrefu
Nakuja, nitumie elf50 ya tax. Huku bodaboda zipo mbali. Na nina namba ya dreva tax tu.basi njoo tuyajenge, mwenzio ndo ugonjwa wangu,hasa ukizingatia me ni mrefu
Kweli we ni kisu cha ngariba.Furaha yako ndio utajiri wangu,ukiwa na furaha najiona tajiri.
Nakuja, nitumie elf50 ya tax. Huku bodaboda zipo mbali. Na nina namba ya dreva tax tu.
nakutumia sasa ,hivi ila nitumie kwa njia gani ili ikufikie , mpesa ama account namba.?Nakuja, nitumie elf50 ya tax. Huku bodaboda zipo mbali. Na nina namba ya dreva tax tu.
Umesoma kichwa cha habari na habari kamili kabla hujacoment kweli?Mie Mwanamme mfupi hata hani excite lol sijui namuonaje nahisi kama hata mambo yake hua mafupi fupi hana haraka ya maisha sijui namuonaje,sorry to say this..
Nisaidie kusoma please...Umesoma kichwa cha habari na habari kamili kabla hujacoment kweli?
Ushaogopa, umesema ishakuwa noma.nakutumia sasa ,hivi ila nitumie kwa njia gani ili ikufikie , mpesa ama account namba.?
We do talk abt short girls not boys my dear. Sorry kama mekukwaza.Nisaidie kusoma please...
Sio wafupi hao kama kina tausi, hata awe mfupi akitaka kubusu hapandi kistuli.Naongezea... , akitaka kukuchumu anapanda kwenye kistuli....
Hata simba akikosa nyama hula majani, % percent tall girls are the best in almost all sectors, labda kama umeongelea kwenye sekta moja ya mapenzi ambayo pia hu-differ from one person to another hata hao wafupi kuna wabovu, na pia inategemea na aina ya wanawake ambao huwa unakuwa nao/status. Huku mtaani/maofisini tunagombaniwa😛😛Ndugu ninakwambia hii ni reseach nimefanya mwenyewe.
Raha ya chungwa mpate mmenyaji na raha ya nazi mpate mkunaji.
Kusema kweli wanawake warefu wanaulemavu katika tendo la ndoa.
wala usijali hujanikwanza kawaida ...nimejua na ndioo mana nikasema since mie ni mwanamke sipendi mwanamme mfupi.We do talk abt short girls not boys my dear. Sorry kama mekukwaza.
nimeogopa nini tena, fanya fashta nikutumie ,nipe namba yako ama account number nikuandikie checkUshaogopa, umesema ishakuwa noma.
Hao wanaowagombania hawajui raha ya kuwa na watoto wafupi.Hata simba akikosa nyama hula majani, % percent tall girls are the best in almost all sectors, labda kama umeongelea kwenye sekta moja ya mapenzi ambayo pia hu-differ from one person to another hata hao wafupi kuna wabovu, na pia inategemea na aina ya wanawake ambao huwa unakuwa nao/status. Huku mtaani/maofisini tunagombaniwa😛😛
Haaa naona mrefu unajisifia mkuuHujakutana na mrefu wewe, utajiliuza ulikuwa wapi kuhangaika na wafupi.