Raha ya ndoa NI NINI?

cacico ma dear umenipa majibu yenye maswali tena hivi kwani wanao wakitimiziwa mahitaji na shangazi au wajomba je itatimiza raha yako? inamaana siku ambayo mumeo hana amani basi kwako raha ya ndoa hakuna?
shangazi hawezi gfsonwin kutimiza mahitaji ya wanagu pasee, labda tu part of it! na ukweli kabisa mume wangu akiwa hana amani raha ya ndoa nitaipataje?? maana amani yake ndio inafanya mtwangio uwe imara na uweze kutwanga barabara! lakini kama amani imepotea atatwangaje sasa?? cha kwanza huwa ninahakikisha kipo ili atwange barabara kwenye kinu changu ni AMANI KWANZA! LOL!
 
Last edited by a moderator:
Ulifurahi eh?
Halafu nimekusoma sana post zako zote kwenye hii thread, trend ya post zako inaonyesha umedata mahali na una plan kum cheat mzee,be careful mapenzini kikohozi.........
Mkuu Bishanga, kuna sehemu yoyote gfsonwin amekanusha hii kauli yako? hebu nipe link kama ipo....
 
Last edited by a moderator:
Kongosho hebu mpige biti mapemaaaaaa huyo, Asprin ni wangu, Yummy peke yake ndo anaruhusiwa kumrembulia macho.....
ila hiyo style unayomfundisha mwenzio hala hala asitegue kiuno....





 
Last edited by a moderator:
hahhahahah nitamfundisha tu.....
ila ujue Asprin ni mtaalam? ooooh





 
Last edited by a moderator:
Kongosho hebu mpige biti mapemaaaaaa huyo, Asprin ni wangu, Yummy peke yake ndo anaruhusiwa kumrembulia macho.....
ila hiyo style unayomfundisha mwenzio hala hala asitegue kiuno....
Hivi my love, bado watu hawaamini eh?

hahhahahah nitamfundisha tu.....
ila ujue Asprin ni mtaalam? ooooh
Hivi kile ulichonifundisha jana ulisema kinaitwa "Chura kajamba" au "Chuchumaa ukamue?" Nshasahau mwenzio... Ila ile ya "Rais mapumzikoni" ulinikosha sana BADILI TABIA. Sitokuacha asilani.
 
Last edited by a moderator:
ile chura kachuhumaa, leo nitakupa tena "raisi mapumzikoni" ili uzidi kuinjoy tena, kesho nitakubadilishia mpenzi wangu.......




Hivi my love, bado watu hawaamini eh?

Hivi kile ulichonifundisha jana ulisema kinaitwa "Chura kajamba" au "Chuchumaa ukamue?" Nshasahau mwenzio... Ila ile ya "Rais mapumzikoni" ulinikosha sana BADILI TABIA. Sitokuacha asilani.
 
ile chura kachuhumaa, leo nitakupa tena "raisi mapumzikoni" ili uzidi kuinjoy tena, kesho nitakubadilishia mpenzi wangu.......
Ndo maana penzi langu kwako nimeamua kuliweka kifuani mwako BADILI TABIA....

 
Last edited by a moderator:
Sijaona raha yoyote ya ndoa zaidi ya kufurahia watoto wangu. Mengine yote kwangu hakuna cha raha wala nini! Kawaida tu.



Hata mimi, zaidi ya hao watoto sijaona chengine, huku uwarabuni kumezidi, wanaume vituko hawasemeki
 
Ha ha ha ha ha ha, BAbu Dark City ana uwezo wa kununua hata V8
Tatizo lake huwa anaumwa mgongo lazima wende naye kwa step sana.

Hapo red 'no comment'
Hii unaweza itumia wakati unataka kufupisha safari lol, dk moja tu huyo kwisha habari yake.
Wee kweli umepinda

 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Kongosho haya ni maisha rafiki so sometimes lazima uwe mtu wa kuchat tu humu jf kuongeza uwezo wa kupambanua mambo na kuosha akili. ukijidai mnoko wa maisha utajicomitia suisaidi mapemaa kama wengine bwana kwa raha zako jiachie.
 
Last edited by a moderator:
Ungekuwa hulei?:rain:

ule imetumika kama kielezi kuelezea kuwa kucheat kwangu ni kitu ambacho siwez hata kukiwaza kwasasa. so ondoa shaka. au unataka nikwambie nitakupa bynite moja uone shemejio anafaidi je? omba ruhusa kwanza kwa mkeo na mahawara zako wote kwa maandishi na waweke sahihi sitaki kesi kisha nenda kwa dr maprucino akupime magonjwa yote hatarish hasa bp na kisukari ili usije ukanifia kisha kata bima kabisa ndipo uje kwangu.
 
Ulifurahi eh?
Halafu nimekusoma sana post zako zote kwenye hii thread,trend ya post zako inaonyesha umedata mahali na una plan kum cheat mzee,be careful mapenzi ni kikohozi.........

Nilitaka kusema hivi hivi...... gfsonwin hapa hata huwezi kukanusha kabisaaaa maana huo mtiririko wako nilivoufatilia kuna uwalakini!!!
 
Last edited by a moderator:
huyu sijui kama anaijua staili ya mfyonzo muulize Kaizer hii ni funga kazi kuliko zote. huyu Asprin akiigundua tu umeisha ma dia itabidi uanze kupiga chupa za wine ili kujinyegeza. ni noma
Wala usiwe na shaka BADILI TABIA nimempendea mengi, ngono ni kimalizio tu lol hata style ya death of cockroach sie twende kazi..... ili mradi miguuye ikae mabegani mwangu...khaa!!
 
Last edited by a moderator:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…