Raha ya kutongozwa...lol

Heheheh ni raha of coz,binadamu tunapenda attention.
 
Kutongozwa ina raha yake hasa umpate mwanaume anayejua maneno ya kukusifia tna mengne ya uongo loo. utafurahi
Siku hizi hakuna tunambiana tuu

Haaah haaah ICHANA umenichekesha sana, mnaambiwa nini tu kama hamtongozwi?
 
Last edited by a moderator:
Haaah haaah ICHANA umenichekesha sana, mnaambiwa nini tu kama hamtongozwi?

Wanaume wako wapi watongozaji?? Hadi ning' ate vidole, nikatekate majani, nisugue na miguu chini kwa jicho LA aibu, barua za kuchora hadi moyo, ukinywa maji unaniona....
Now day simple wassap, badoo, fb mnachat Mara tuonane Mara guest ushavuliwa bila kutongozwa
Mda wa kutongoza upo wap??
 
Last edited by a moderator:

Sikuhizi tunamalizana kwenye mtandao kama Whatssap nk. Tukionana ni finishing tu, sijui ninapokukusomesha wewe unakuwa kwenu unakuwa ktk hali gani, ila ukiombwa no ya simu umetongozwa tayari.
 
Sikuhizi tunamalizana kwenye mtandao kama Whatssap nk. Tukionana ni finishing tu, sijui ninapokukusomesha wewe unakuwa kwenu unakuwa ktk hali gani, ila ukiombwa no ya simu umetongozwa tayari.

Na hii inawapunguzia maksi za kuwa creative na tunaendelea kusamarize vitu hadi vya chumban...ukiombwa no jua kapenda...mkachat ....ukisikia kuonana juu ndo game kupigwa. Baada ya week kuachana
 
Na hii inawapunguzia maksi za kuwa creative na tunaendelea kusamarize vitu hadi vya chumban...ukiombwa no jua kapenda...mkachat ....ukisikia kuonana juu ndo game kupigwa. Baada ya week kuachana

Ktk suala la chumbani Sasa uvivu unatakiwa kuweka pembeni, unatakiwa Kuwa creative, kumsoma mwenzio na kumshambulia ipasavyo hadi awe hoi, ukileta uvivu au kinyaa mbona utasaidiwa sana hapa mjini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…