WABALLA Inc
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 2,711
- 1,015
hahahha
Hahaaaa. Hakika rafiki maisha ni safari.
Na hapo waeza kuta kitandani wote mnatosha.
Hebu huko Mtani naona ushaanza kumtaja yule Mzee wenu. 😂😂😂😂😂Hakika mtani nilikuwa na kitanda na sabufa yangu mmoja matata basi, na Mimi wageni wa kubwa walikuwa ni wa kike mtani, kwaiyo kukaa chini walikuwa hawawezi wanafikia kitandani tu, kwaiyo nilikuwa na jichinjia tu kama kagere anavyojichinjia sikuhizi .
Hapo kwenye birika la Umeme labda iwe ni luku yako pekee otherwise timbwili lake sio pouwaTena uwe na birika ya umeme na TV. Mama mwenye nyumba anaomba kikombe cha chai kabla hujaenda kazini na ukirudi anakusubiri uoge aje kuangalia tamthilia.
Uwiiii. Ilikuwa balaa rafiki.kwenye kitanda tulikuwa tunalala watano watano, wengine kwenye makochi, baada ya mda wa kwenye makochi wanakuja kitandani na wa kitandani wanaenda kwenye kochi wengine kutazama tv
... kila kitu kina mwanzo wake rafiki, haya rafiki.. kazi njema... ngoja tuingia kwenye kazi sasa ili mikono iende kinywaniUwiiii. Ilikuwa balaa rafiki.
haha mbona hongera!!! we mtani hujapitia kabisa maisha ya chumba kimmojaHebu huko Mtani naona ushaanza kumtaja yule Mzee wenu. 😂😂😂😂😂
Hongera zako mtani kwa kuwa mchinjaji enzi hizo.
Hakika. Haya Ahsante rafiki nawe pia Kazi njema. 🙏🙏🙏... kila kitu kina mwanzo wake rafiki, haya rafiki.. kazi njema... ngoja tuingia kwenye kazi sasa ili mikono iende kinywani
Hahahaa. lolhaha mbona hongera!!! we mtani hujapitia kabisa maisha ya chumba kimmoja
Asipoviona naona akili inaweza mrukaMtani huyo itakuwa anataka kulinda mali zake yaani ye kila akiamka akipiga jicho Sub woofer , begi la nguo , viatu na hata jiko la mchina / gesi vyote anaviona.
Raha nyingine ni pale unapoalika demu ambaye bado hujamkula, halafu analeta mapozi ya sitaki natakaUnajua bwana kila kitu kina raha na karaha zake. Sasa kupanga na kuishi ndani ya chumba kimoja, kuna raha na karaha zake pia.
Kwa ufupi karaha zake ni kama pale itokeapo ukapata ugeni jinsia tofauti na wewe (siyo mpenzi wako) hapo lazima kichwa iwake
Tukirudi kunako raha za kupanga chumba kimoja, raha ni nyingi, ila raha na duraha iliyo kuu ni pale unapoamka asubuhi, YAANI VITU VYAKO VYOTE UNAVIONA.
😂😂😂😂Asipoviona naona akili inaweza mruka
a tree is known by its fruit
labda kwa mwanaume. kwa mwanamke unapika kimakini zaidi na chumba mda wote kinakuwa kisafi. Maisha freshNami napinga hoja, raha ya chumba kimoja kuwe na kitanda , sehemu ya kuifadhia nguo... ndani ya chumba kimoja kupika ni hatari, unaweza choma nyumba ya watu...
Yeah. Kuna wengine wanajiendekeza tuMimi mbona chumba muda wote kiko safi, na ni mwanaume. Inategemea mtu na mtu, siyo jinsia.
sijui umewaza nn aisee ila nimecheka sanaUnajua bwana kila kitu kina raha na karaha zake. Sasa kupanga na kuishi ndani ya chumba kimoja, kuna raha na karaha zake pia.
Kwa ufupi karaha zake ni kama pale itokeapo ukapata ugeni jinsia tofauti na wewe (siyo mpenzi wako) hapo lazima kichwa iwake
Tukirudi kunako raha za kupanga chumba kimoja, raha ni nyingi, ila raha na duraha iliyo kuu ni pale unapoamka asubuhi, YAANI VITU VYAKO VYOTE UNAVIONA.
karibu sana kwangu, ila ushukuru ukitoka salamaTena uwe na birika ya umeme na TV. Mama mwenye nyumba anaomba kikombe cha chai kabla hujaenda kazini na ukirudi anakusubiri uoge aje kuangalia tamthilia.
labda kwa mwanaume. kwa mwanamke unapika kimakini zaidi na chumba mda wote kinakuwa kisafi. Maisha fresh
Wachache wapo makini, Ila wengi hawapo makiniWanaume hawapo makini au sio ?