Kwanini unaogopa kupanga vyumba vya laki moja kuendelea au nyumba nzima?

The Eric

JF-Expert Member
Feb 23, 2019
5,059
8,179
Salaam....

Ni vijana wengi sana wamepanga lakini wanakaa vijistoo yaani wanashindwa kupanga vyumba vya hadhi yao au nyumba nzima.

Kwa mimi binafsi yangu napendekeza kijana atoke kukaa kwenye chumba kimoja kwani atachelewa sana kwenye mafanikio na fikira za kimaisha.

Wewe ni Graduate au Mwalimu, au mwajiriwa jaribu kuishi nyumba ya hadhi yako ikitokea ukapata ugeni na status yako ya kimaisha inapanda na ni rahisi kuaminika na kushikwa mkono.

Upgrade youself kwenye kila kimoja uone kama hutafanikiwa.

Nimeweka chumba cha laki sababu ni hizi

# chumba na sitting room kizuri tena vingine na choo ndani,
# kibaraza cha nje,
# fence na gate kali, cctv camera, n.k unakipata baadhi ya sehemu......ukiweza kuishi ushuani pia ni vizuri....
Zingatia chumba chako kiwe na choo kizuri cha kisasa.
# Madirisha ya aluminium/ PVC.
# Floor With Clean Tails...and Wall Painted Wallpapers.
# Gypsum boarding.
Hakikisha una furnitures za kueleweka bila kusahau TV yako ya inch 40' 42' hata 32' sio mbaya na bufa ya maana.

Angalizo usije ukatafuta nyumba bila mkataba na ukiipata ukaipenda, lipia kuanzia miezi 12 meaning if its 100k per month, pay it annually about 1.2M once. Hii itasaidia wewe kupambana na mengine na kusave budget zako, ukitaka uone dunia chungu lipa miezi 3 😁😁😁

Vijana tujitahidi kuishi karibu na ndoto zetu, sio lazima ujenge, ikiwa kujenga bado hujajiwekea malengo.

Ondoa dhana ya kukwepa gharama kwenye kila kitu kwenye haya maisha it will cost you.
 
Hadi sahizi,ningesema nipange chumba Cha laki huenda ningekuwa nimeamua kwa ndugu,huku nakula kwa masimango,nakumbuka wkt naanza kibiashara changu nilianza kukaa kwa mtu Tena kuomba hifadhi kumbe mwamba anadaiwa bhana,ikabidi nilipe,ikaisha nikalipa Tena xo ikabidi nipange mwenyewe bro alivyojua nilipopanga akalalama Sana unapangaje hapa,kwanza nyumba ya udongo hamna umeme,nikamwambia Mimi ndo ninaelipa akija mgeni atalala hapa km hataki atafute pa kulala,nilikuwa na lipa 30k 😄😄,palinisevu Sana mpaka nilipohama sahizi nalipa 60k hapo pamoja na maji na usafi,Mambo ya 100k nawaachia waajiliwa kupitia hapo nimefanya baadhi ya vitu
 
Salaam....

Ni vijana wengi sana wamepanga lakini wanakaa vijistoo yaani wanashindwa kupanga vyumba vya hadhi yao au nyumba nzima.

Kwa mimi binafsi yangu napendekeza kijana atoke kukaa kwenye chumba kimoja kwani atachelewa sana kwenye mafanikio na fikira za kimaisha.

Wewe ni Graduate au Mwalimu, au mwajiriwa jaribu kuishi nyumba ya hadhi yako ikitokea ukapata ugeni na status yako ya kimaisha inapanda na ni rahisi kuaminika na kushikwa mkono.

Upgrade youself kwenye kila kimoja uone kama hutafanikiwa.

Nimeweka chumba cha laki sababu ni hizi

# chumba na sitting room kizuri tena vingine na choo ndani,
# kibaraza cha nje,
# fence na gate kali, cctv camera, n.k unakipata baadhi ya sehemu......ukiweza kuishi ushuani pia ni vizuri....
Zingatia chumba chako kiwe na choo kizuri cha kisasa.
# Madirisha ya aluminium/ PVC.
# Floor With Clean Tails...and Wall Painted Wallpapers.
# Gypsum boarding.
Hakikisha una furnitures za kueleweka bila kusahau TV yako ya inch 40' 42' hata 32' sio mbaya na bufa ya maana.

Angalizo usije ukatafuta nyumba bila mkataba na ukiipata ukaipenda, lipia kuanzia miezi 12 meaning if its 100k per month, pay it annually about 1.2M once. Hii itasaidia wewe kupambana na mengine na kusave budget zako, ukitaka uone dunia chungu lipa miezi 3 😁😁😁

Vijana tujitahidi kuishi karibu na ndoto zetu, sio lazima ujenge, ikiwa kujenga bado hujajiwekea malengo.

Ondoa dhana ya kukwepa gharama kwenye kila kitu kwenye haya maisha it will cost you.
Na uwakumbushe wapange nyumba za watu wenye pesa ambao hawategemei hizo nyumba.
Mimi niliwahi panga nyumba moja ya mdada fulani yani nilipewa mkataba mara moja baada ya hapo yeye hata hafuatilii hajui kodi inaisha lini wala hadai. Mimi sasa ndiye nikawa nampgia kumwambia kodi nikuwekee kwenye akaunti au nikutumie kwenye simu. Ananiambia halafu anauliza hii sasa inaenda mpaka lini. Kuna muda nataka mtumie kodi namwambia kuna hiki na hiki kimeharibika, ananijibu we tengeneza na ela ya kodi itakayobaki nitumie.
Sasa kuna kipindi niliwahi kaa kwenye apartment za jamaa fulani hivi alikuwa anazisimamia ila zile nyumba zilikuwa za waziri fulani mstaafu. Aisee unaanza daiwa kabla ya mwezi mmoja yani sms, simu na kadhalika.
Experience yangu niliyopata katika miaka niliyopanga, suhauri mtu apange nyumba ambayo mwenye nyumba anaishi hapo hapo, pia sishauri mtu kupanga nyumba ambayo mwenye nyumba anaitegemea kama chanzo cha kuendesha maisha yake.
 
Na uwakumbushe wapange nyumba za watu wenye pesa ambao hawategemei hizo nyumba.
Mimi niliwahi panga nyumba moja ya mdada fulani yani nilipewa mkataba mara moja baada ya hapo yeye hata hafuatilii hajui kodi inaisha lini wala hadai. Mimi sasa ndiye nikawa nampgia kumwambia kodi nikuwekee kwenye akaunti au nikutumie kwenye simu. Ananiambia halafu anauliza hii sasa inaenda mpaka lini. Kuna muda nataka mtumie kodi namwambia kuna hiki na hiki kimeharibika, ananijibu we tengeneza na ela ya kodi itakayobaki nitumie.
Sasa kuna kipindi niliwahi kaa kwenye apartment za jamaa fulani hivi alikuwa anazisimamia ila zile nyumba zilikuwa za waziri fulani mstaafu. Aisee unaanza daiwa kabla ya mwezi mmoja yani sms, simu na kadhalika.
Experience yangu niliyopata katika miaka niliyopanga, suhauri mtu apange nyumba ambayo mwenye nyumba anaishi hapo hapo, pia sishauri mtu kupanga nyumba ambayo mwenye nyumba anaitegemea kama chanzo cha kuendesha maisha yake.
Vijana wamekusikia watalifanyia kazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom