.nina wasiwasi wewe ni rage.simba imepata mafanikio mengi sana chini ya uongozi wa rage
.nina wasiwasi wewe ni rage.simba imepata mafanikio mengi sana chini ya uongozi wa rage
Ilani ya ccm inaendelea kutekelezwa mpaka kwenye mpira.
Naipenda sana simba kwa kuweka record ya duniani kwenye soka, KIONGOZI PEKEE WA SOKA KUFUNGWA JELA 3YRS na akawezi kupiga siasa nakuchaguliwa mwenyekiti wa SIMBA, Haitoshi kapiga deal la OKWI halafu simba anawapa mali kauli. Hata hivyo asilimia 90 ya wanachama wa vilabu vya simba na yanga SHULE HAKUNA na UELEWA NI SIFURI. Hivyo acha wajanja waneemeke tu. TENA SIKU AKIIBUKIA KWENYE MKUTANO UTAONA ATAKAVYOWAPA SOUND NA MKWALA MZITOO THEN WANA SIMBA WATAMBEBA JUUJUU WAKIIMBA. JEEMBE,JEEMBE, JEEMBE. Na ukitaka kuwa win mashabiki wa simba na yanga we WAAPIE TU KUWA HAKIYA NANI NITAFANYA HIVI.ISMAIL ADEN RAGE haaminiki na wala hajawahi kuaminika ,aliwahi kufungwa jela kwa wizi wa mipira pale FAT , nimewadharau sana waliomchagua kwenye ubunge na kwenye uongozi wa club yetu .
yanga hua wanaiga ksajili toka simba sijui huwa hawana uwezo wa kuspot talents wenyewe
Simba imepata mafanikio mengi sana chini ya uongozi wa Rage
kelvin yondani, kaseja, okwi, barthez, aking'aa simba ndo yanga wanasajili tulivyotumia na kuvichoka
Rage namchukia huyu mtu na chama chake.ndo mana simba inavurunda tu.
Yanga huwa tunachukuwa wachezaji ambao ninyi mnasema wanini wakati wenzenu tunajiuliza tutawapata lini lakini chakushangaza wakifika Yanga mnaanzakuwatolea macho tena. Yondani mlikuwa mnamkebehi mkampeleka kwa mkopo sijui kitimu gani yanga,tukabeba mkaanza maneno,Athuman Idd Chuji(Steven Gerrard wa bongo) unakumbuka sakata lake?..Kaseja naye fitna hivyohivyo sasa hivi ndy mnaona thamani yao,nimemsahau Nurdin Bakary!... Muwe mnakuwa wapore tukifanya yetu nanyi fanyeni yenu!....