Rage: Hivi Haya Ni Kweli Jamani?

Rage: Hivi Haya Ni Kweli Jamani?

mke wake ni msomali pure namfahamu vzr sana alipokuwa anaishi pale samora avenue opposite na tanesco. Sijui kama wamehama.
Msomali yule aondoke Eminaz Mansion ndani ya Samora halafu ahamie wapi tena? Pita pale ulione Hummer lake limepaki nje pale.
 
Hawa jamaa wabaguzi kweli,kwa mfano matajir wengi wa kisomali wanaomiliki magari ya mizigo huajiri madreva wasomali wenzie
Uko sahihi mkuu
Hawa jamaa nimeishi nao
Hawafai na wabaguzi zaidi mno
Sjui wanajionaje aisee
Au somalia ndio taifa pekee lililoendelea africa?
Mbona wana nigeria hawana undambava huu wa kipuuzi licha ya kuwa ndio taifa lililoendelea africa?
Unafiki mbaya ila hawa jamii ya kosomali hawafai kuhodhi madaraka kiivo ndani ya tz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Udini, ukabila, rangi ya mtu na ubaguzi wa kujumla wa binadamu, hautakiwi hapa Tanzania, mtanzania sio lazima awe mbantu wa Tanganyika, anaweza kuwa mweupe, mwarabu, msomali, mwanamke, shoga, mkristu au muislamu.

Hio ndio siri ya sisi wabongo kutokuwa na mavita ya kijinga kijinga mpaka leo, sijui wengine wataelewa haya lini....!
Kwanini umeileta habari hi humu ?! Anza wewe Kwanza...tueleze wazazi wako ni makabila gani na pia dini zao
 
Kila kitu kinawezekana!. Nenda Arusha, mitaa yote mbele ya soko la Arusha ni nyumba za wasomali watupu!, wamezaliwa Arusha, wamekulia Arusha na watafia Arusha! ni Watanzania Wenzetu!.

Nenda umasaini eneo la Ngaramtoni, utashuhudia Wasomali pure, wanaongea Kimasai safi!, wamezaliwa umasaini, wamekulia umasaini na watafia umasaini, ni Watanzania wenzetu!.

Nenda uhindini, kuna watoto wamezaliwa uhindini, wamekulia uhindini lakini hawazungumzi Kiswahili ila ni Wanzania wenzetu!.

Rage ni Msomali Mtanzania mwenzetu!, Kinana ni Msomali Mtanzania mwenzetu na Bashe ni Msomali Mtanzania mwenzetu!. Tusiwasakame bure kutokana na rangi zao!, kuna Warundi, Waganda, Wakenya, Wanyarwanda, Wajaluo, Wazaire, Wamalawi, Wazambia, Wamsumbiji kibao wako kwenye madaraka makubwa serikalini tena wengine mpaka idara nyeti!, wamepose kama Watanzania, hatuwasakami kwa sababu tuu wamefanana na sisi!, kitendo cha kuwasakama Wasomali na Wahindi tuu, huu pia ni ubaguzi mbaya!.
Pasco.
Tatizo sio kuwa watanzania wenye asili ya Somalia Ila mtu Kama bashe na wengineo akiwemo yule aliyetaka kugombea urais bado wanajihusisha directly na Mambo ya Somalia Kuna pesa nyingi chafu za Somalia zimetakatishwa nchini fatilia kariakoo kwenye maduka ya computer na it wamekaa wengine hawajui hata kiswahili pia fatilia biashara wanazoshiriki za real estate hata biashara za wahamiaji haramu ambazo zilikuwa zinamhusisha mmiliki wa Tansoma bila kusahau ujangili
 
Nimemsikia mweshimiwa huyu kwamba eti yeye baba yake ni msomali na mama ake ni mmasai,na kwamba yeye kazaliwa Tabora mbaya zaidi anadai kuwa wakati mama yake rageh yuko kigoli alifiwa na mama yake yani bibi yake rageh mzaa mama na babu yake Rage akakataa kuoa mpaka mama yake rageh aolewe!! swali hivi hili linawezekana kweli kwa wamasai wenye kuoa wake wengi??

Mbaya zaidi mama ake Rage alilelewa na bibi ake aitwae bint ahmed hivi kuna wamasai waislamu kweli miaka hiyo ya 1950??mi naona historia hii ina walakini pili Rage anazungumza kisomali vizuri na hii haiwezekani mpaka baba na mama wawe wanaijua lugha hiyo au kama mzazi mmoja basi lazima atakuwa ni mama mana ndio anaeshinda na watoto,sasa anasema mama yake ni mmasai hivi kuna msomali miaka hiyo ya 50s aliweza kuoa mmasai kweli??mana mtu wa mwisho msomali kuoa ni msomali mwenzake kama akkosa mzungu au mhindi au mwarabu!!

Je Rage sasa hivi mke wake ni msomali au ni wa jamii gani?? Wajuzi mnaomjua vizuri tujuzeni tafadhali.
Wasomali wa Tabora walikuwa wachuuzi wa ng'ombe na mbuzi minadani, Wamasai wafugaji hawakuwepo Tabora ila Watusi wafugaji walikuwepo, inawezekana mzee Rage alitorosha huko Arusha akiwa kwenye biashara yake na kukimbilia kujificha Tabora na mke wake Wamasai wasimuone. Miaka ya 50 Wamasai hawakuwepo Tabora na pia mikoa mingine, waliridhika umasaini. Wamasai walianza kusambaa miaka ya sabini na mkoa wao wa kwanza ulikuwa Morogoro. Kujua lugha vizuri si kigezo kwani Tabora walikuwepo waarabu walikuwa wanaongea kinyamwezi vizuri sana kuliko vijana wa kinyamwezi.
Hitimisho, ukizaliwa nchini na wazazi wako wote si wananchi wewe utakuwa mwananchi wa kuzaliwa na hautaweza kutoka nchini bila pasipoti, hivyo Rage ni mwananchi.
 
Mkuu kwani kuhoji uraia wa mtu ndiyo kumbagua?Ukiona wageni wanaingia nchini kinyume na taratibu za nchi na ukaamua kuhoji huo ni ubaguzi?
Una ugomvi na Mh.I.A.Rage?Huyu si aliwahi kuwa mbunge,kiongozi wa chama kubwa...? na President wa Mnyama? Inawezekanaje mtu ambaye siyo RAIA wa Tanzania akashika nyadhifa zote hizi na asijulikane?Vyombo vyetu ni dhaifu kiasi hicho?Nani alaumiwe kwa makosa kama hayo?
Nchi hii imekuwa chini ya serikali za CCM karibia miaka 60,ila ukuaji wake hauendani na umri huo.Kuna udumavu mkubwa katia makuzi kwa sababu ya walezi kutotuthamini na wanaendelea kujineemesha wao.
Tudai Katiba ya Wananchi tuanze upya kujijenga kama Taifa Huru.
 
Mkuu, unachokisema ni cha kweli kuhusu ubaguzi. Naomba niongezee kwamba si wao tu hata wale wa Sudan kaskazini nao pia. Wote hao mkiwa nje ya Africa hujiita waarabu tena kwa nyodo kali dhidi ya weusi. Nimepata kusoma nao maeneo fulani.
Binafsi na wenzangu tulikuwa tunawasamehe bure, kwani ni sawa na kujifanya tajiri wakati ni maskini wa kutupwa.

Kuhusu urai wa Mhe. Rage, nadhani hakuna wa kuweza kukanusha kauli yake hadi vyombo husika vifanye uchunguzi na viwe fair.
Waethiopia na waelitrea nao wabaguzi sana wanajiona wao sio waafrica kwa sababu ya nywele zao,Ukiwakuta Europe wameshakula Burger wamenenepa wanadharau kinoma
 
Kila kitu kinawezekana!. Nenda Arusha, mitaa yote mbele ya soko la Arusha ni nyumba za wasomali watupu!, wamezaliwa Arusha, wamekulia Arusha na watafia Arusha! ni Watanzania Wenzetu!.

Nenda umasaini eneo la Ngaramtoni, utashuhudia Wasomali pure, wanaongea Kimasai safi!, wamezaliwa umasaini, wamekulia umasaini na watafia umasaini, ni Watanzania wenzetu!.

Nenda uhindini, kuna watoto wamezaliwa uhindini, wamekulia uhindini lakini hawazungumzi Kiswahili ila ni Wanzania wenzetu!.

Rage ni Msomali Mtanzania mwenzetu!, Kinana ni Msomali Mtanzania mwenzetu na Bashe ni Msomali Mtanzania mwenzetu!. Tusiwasakame bure kutokana na rangi zao!, kuna Warundi, Waganda, Wakenya, Wanyarwanda, Wajaluo, Wazaire, Wamalawi, Wazambia, Wamsumbiji kibao wako kwenye madaraka makubwa serikalini tena wengine mpaka idara nyeti!, wamepose kama Watanzania, hatuwasakami kwa sababu tuu wamefanana na sisi!, kitendo cha kuwasakama Wasomali na Wahindi tuu, huu pia ni ubaguzi mbaya!.
Pasco.
Hapa brother, umetema madini mazuri sana, nadhani umeweza kuwatoa tongotongo watu wenye fikra potofu juu ya watanzania wenzetu wenye asili za nje ya Tanzania.
 
Mimi kila siku nasemaga CCM inasaidiwaga na jeshi la wahamiaji haramu

Warundi Wasomali Wanyaru hadi Wazairwaa na Wanyasa
Bila Wahamiaji haramu na mapoliccm CCM ni wepesi kama karatasi
Tundu Lissu 2020
 
Mimi kila siku nasemaga CCM inasaidiwaga na jeshi la wahamiaji haramu

Warundi Wasomali Wanyaru hadi Wazairwaa na Wanyasa
Bila Wahamiaji haramu na mapoliccm CCM ni wepesi kama karatasi
Tundu Lissu 2020
Kuna ukweli hapa! Haiwezekani wasiojulikana wasijulikane! Kwa vyovyote Kuna anaewajua na kuwalinda!
Ni wakati muafaka wa kuipigania nchi yetu kutoka kwa Hawa wakoloni weusi! Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ndio dawa kwa Sasa!
 
Kila kitu kinawezekana!. Nenda Arusha, mitaa yote mbele ya soko la Arusha ni nyumba za wasomali watupu!, wamezaliwa Arusha, wamekulia Arusha na watafia Arusha! ni Watanzania Wenzetu!.

Nenda umasaini eneo la Ngaramtoni, utashuhudia Wasomali pure, wanaongea Kimasai safi!, wamezaliwa umasaini, wamekulia umasaini na watafia umasaini, ni Watanzania wenzetu!.

Nenda uhindini, kuna watoto wamezaliwa uhindini, wamekulia uhindini lakini hawazungumzi Kiswahili ila ni Wanzania wenzetu!.

Rage ni Msomali Mtanzania mwenzetu!, Kinana ni Msomali Mtanzania mwenzetu na Bashe ni Msomali Mtanzania mwenzetu!. Tusiwasakame bure kutokana na rangi zao!, kuna Warundi, Waganda, Wakenya, Wanyarwanda, Wajaluo, Wazaire, Wamalawi, Wazambia, Wamsumbiji kibao wako kwenye madaraka makubwa serikalini tena wengine mpaka idara nyeti!, wamepose kama Watanzania, hatuwasakami kwa sababu tuu wamefanana na sisi!, kitendo cha kuwasakama Wasomali na Wahindi tuu, huu pia ni ubaguzi mbaya!.
Pasco.
Comment bora kabisa ya mwaka 2012. Watanzania ni wamoja bila kujali rangi, kabila, dini na itikadi zetu. Wapo watanzania wengi wenye asili ya nje (wahindi, waarabu, wazungu na wasomali) lakini ndiyo wenye mchango mkubwa katika uchumi, elimu na siasa zetu.
Kemea ubaguzi, Dumisha amani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote wanaopinga hii hoja ya kuhoji uraia ni WAPAMBE wake, ndiyo maana wanataka nchi ishikwe na wakimbizi kama watz original hawana akili!! wanatoa povu kutetea bila sababu!!! kunaubaguzi gani hapo?
Ndiyo maana kila wakisimama kwenye majukwaa wanahutubia kilugha ili kuwaaminisha WANANCHI kuwa ni wenzao,kumbe ni wahutu PURE,kuhusu Ndugu Rage,yeye ni msomali wa wa Tabora pale mtaa wa Rufita,hata kwao alipozaliwa panajulikana na anaishi na ndugu zake hapo kwao,na mimi huwa nafikia kwenye moja ya nyumba yake ya kulala wageni,ijulikanayo VOT,ambayo ipi jirani na kwao,ni mtanzania mwenzetu mwenye asili ya Somalia.
 
Tatizo sio kuwa watanzania wenye asili ya Somalia Ila mtu Kama bashe na wengineo akiwemo yule aliyetaka kugombea urais bado wanajihusisha directly na Mambo ya Somalia Kuna pesa nyingi chafu za Somalia zimetakatishwa nchini fatilia kariakoo kwenye maduka ya computer na it wamekaa wengine hawajui hata kiswahili pia fatilia biashara wanazoshiriki za real estate hata biashara za wahamiaji haramu ambazo zilikuwa zinamhusisha mmiliki wa Tansoma bila kusahau ujangili
Good insight.... wenye vyombo vya usalama watakuwa wanalijua hili kama lah walau wanaweza fanyia kazi kuanzia sasa.

Naunga mkono hoja.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu ya Somali kuwa ilivyo sasa(Vita) ni ubaguzi, Kipindi hicho walikuwa wanabaguana kwa Koo zao.
 
Back
Top Bottom