Hivi na mimi naweza kwenda Somalia/India nikakubalika mpaka kugombea uongozi?
Au mtoto nitakayemzaa Somalia/India atakubalika hivyo?
Jaribu mkuu! Labda na wao wameingiwa na moyo wa ukarimu kama wetu siku hizi.
Hivi na mimi naweza kwenda Somalia/India nikakubalika mpaka kugombea uongozi?
Au mtoto nitakayemzaa Somalia/India atakubalika hivyo?
Hivi na mimi naweza kwenda Somalia/India nikakubalika mpaka kugombea uongozi?
Au mtoto nitakayemzaa Somalia/India atakubalika hivyo?
Nimemsikia mweshimiwa huyu kwamba eti yeye baba yake ni msomali na mama ake ni mmasai,na kwamba yeye kazaliwa Tabora mbaya zaidi anadai kuwa wakati mama yake rageh yuko kigoli alifiwa na mama yake yani bibi yake rageh mzaa mama na babu yake Rage akakataa kuoa mpaka mama yake rageh aolewe!! swali hivi hili linawezekana kweli kwa wamasai wenye kuoa wake wengi??
Mbaya zaidi mama ake Rage alilelewa na bibi ake aitwae bint ahmed hivi kuna wamasai waislamu kweli miaka hiyo ya 1950??mi naona historia hii ina walakini pili Rage anazungumza kisomali vizuri na hii haiwezekani mpaka baba na mama wawe wanaijua lugha hiyo au kama mzazi mmoja basi lazima atakuwa ni mama mana ndio anaeshinda na watoto,sasa anasema mama yake ni mmasai hivi kuna msomali miaka hiyo ya 50s aliweza kuoa mmasai kweli??mana mtu wa mwisho msomali kuoa ni msomali mwenzake kama akkosa mzungu au mhindi au mwarabu!!
Je Rage sasa hivi mke wake ni msomali au ni wa jamii gani?? Wajuzi mnaomjua vizuri tujuzeni tafadhali.
kuoa msomali hivi ni big deal au msomali kuoa mbogo ni big deal kumbe mm niliku sijuwi lkini ktk mapenzi mtu hachagui wa kuoa ww umekrmishwa ku wasomali wanaoana na wahindi 2 kitu hiki hakipo
hv nyie mnataka nini hasa?? Udini nyie,,, ukanda nyie,,,rangi nyie,,,ukabila nyie hee mnatishamkuu kwani kuhoji uraia wa mtu ndiyo kumbagua?ukiona wageni wanaingia nchini kinyume na taratibu za nchi na ukaamua kuhoji huo ni ubaguzi?
tumechoshwa na tamaa zenusasa kwa nn ikitokea mswahili ana-date na msomali wenzie humtenga?! Kwamba ana-date na takataka au?!
Na mbona mzungu/mwarabu/mhindi aki-date na msomali wenzie hawamtengi, so tatizo ni rangi yetu nyeusi au?!
Kubali kataa hii jamii ni wabaguzi mbaya kabisa, kwa kuongezea pia wana roho katili kabisa dhidi yetu weusi, hawa akina rage, kinana wanawazuga tu nyie mnaowapapatikia!
Hivi na mimi naweza kwenda Somalia/India nikakubalika mpaka kugombea uongozi?
Au mtoto nitakayemzaa Somalia/India atakubalika hivyo?
fanya mambo yako hayo hayakusaidii chochoteNimemsikia mweshimiwa huyu kwamba eti yeye baba yake ni msomali na mama ake ni mmasai,na kwamba yeye kazaliwa Tabora mbaya zaidi anadai kuwa wakati mama yake rageh yuko kigoli alifiwa na mama yake yani bibi yake rageh mzaa mama na babu yake Rage akakataa kuoa mpaka mama yake rageh aolewe!! swali hivi hili linawezekana kweli kwa wamasai wenye kuoa wake wengi??
Mbaya zaidi mama ake Rage alilelewa na bibi ake aitwae bint ahmed hivi kuna wamasai waislamu kweli miaka hiyo ya 1950??mi naona historia hii ina walakini pili Rage anazungumza kisomali vizuri na hii haiwezekani mpaka baba na mama wawe wanaijua lugha hiyo au kama mzazi mmoja basi lazima atakuwa ni mama mana ndio anaeshinda na watoto,sasa anasema mama yake ni mmasai hivi kuna msomali miaka hiyo ya 50s aliweza kuoa mmasai kweli??mana mtu wa mwisho msomali kuoa ni msomali mwenzake kama akkosa mzungu au mhindi au mwarabu!!
Je Rage sasa hivi mke wake ni msomali au ni wa jamii gani?? Wajuzi mnaomjua vizuri tujuzeni tafadhali.
fanya mambo yako hayo hayakusaidii chochote
wewe utakuwa either msomali au unafaidika kwa uwepo wa msomali / wasomali hapa tz.
Inawezekana unawaoshea magari yao yakitoka kuwinda tembo wetu, hivyo kwa akili yako - hiyo ni faida kubwa bora waendelee kuwepo!. Tafakari, kichwa si cha kufugia nywele tu....
fanya mambo yako hayo hayakusaidii chochote
fanya mambo yako hayo hayakusaidii chochote
hoja yako ingekuwa imejikita ktk haya ningekuelewa ila ni roho mbaya na choyo tuYananisaidia sana kwa nini asinisaidie ? hivi siku raisi akiwa muua tembo hilo la kuhoji halitanisaidia?au akiwa na konection na a shabab na kaka zao al qaida na nchi ikawekewa vikwazo vya kiuchumi kuhoji kwangu hakunisaidii?? je wasomali au waarabu wakipanga nyumba jran yangu na baada ya kuondka tu mabomu yakalipuliwa na watz wakafa je haitanihusu?? je nikienda somalia wakaniita takataka na kunitemea mate usoni sababu a rangi yangu na nywele zangu na nikirudi hapa nyumbani nawakuta wasomali walewale wako madarakani nchini mwangu je nayo hainihusu??fikiri kabla ya kuropokaaa!!
Hata kuna watanzania wenye asili ya asia(India) sijui sisi tuliwahi kuitwala India??
Hivi na mimi naweza kwenda Somalia/India nikakubalika mpaka kugombea uongozi?
Au mtoto nitakayemzaa Somalia/India atakubalika hivyo?