JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,795
- 9,153
Wewe uliye-comment imekusaidia nini?fanya mambo yako hayo hayakusaidii chochote
Wewe uliye-comment imekusaidia nini?fanya mambo yako hayo hayakusaidii chochote
Umeuliza swali la msingi Sana mkuu, kinachotusumbua ama kinachosaidia ni kwamba, Tz, bado kuna maeneo mengi na watu wanaweza kukaa na kufanya shughuri zao bila shida na maeneo bado yakabaki, hicho ndicho kinachosaidia tuendelee kuona kawaida kukaa na wahamaji wakifaidi nchi yetu,Hivi na mimi naweza kwenda Somalia/India nikakubalika mpaka kugombea uongozi?
Au mtoto nitakayemzaa Somalia/India atakubalika hivyo?
Ukizaliwa nchini unakuwa raia wa kuzaliwa huenda zaidi ya viongozi wako.Una ugomvi na Mh.I.A.Rage?Huyu si aliwahi kuwa mbunge,kiongozi wa chama kubwa...? na President wa Mnyama? Inawezekanaje mtu ambaye siyo RAIA wa Tanzania akashika nyadhifa zote hizi na asijulikane?Vyombo vyetu ni dhaifu kiasi hicho?Nani alaumiwe kwa makosa kama hayo?
Nchi hii imekuwa chini ya serikali za CCM karibia miaka 60,ila ukuaji wake hauendani na umri huo.Kuna udumavu mkubwa katia makuzi kwa sababu ya walezi kutotuthamini na wanaendelea kujineemesha wao.
Tudai Katiba ya Wananchi tuanze upya kujijenga kama Taifa Huru.
Chadema kuna mzalendo?kama kweli yeye ni public figure watanzania tuna haki na wajibu wa kumjua. Kutokuhoji itapelekea kuongozwa na wakimbizi ili hali wazawa tena wazalendo wapo kibao!
CHADEMA inahusika vipi hapa? Hivi mzalendo ina maana gani?
Lakini si nyinyi wenyewe Mnao kwenda kwenye hoteli zao, guest , restaurant, duka, busses zao ,mnaajiriwa kwenye viwanda vyao n.kwasomali walivokuwa wabaguzi hawawezi kuoa maswahili hata siku moja kama wapo sehemu wamejitenga na hakuna wasomali wenzao na kama hakuna waarabu na wageni wengine wako radhi kaka kuoa dada ake wa tumbo moja ilimradi tu wasioe wabantu hili nimerishuhudia mwenyewe,uone jinsi gani wanavyotudharau hawa wa2 ndio maana mi sifichi mtu mbaguzi simpendi na kwa maana hio wasomali siwapendi kabisa.
Hayo yanafahamika. Mbona mzalendo uchwara analeta ubaguzi wa kikabila? Au hamumuoni?Asili yetu Watanzania, ni Upendo, mshikamano, na sote tunajiona ni watoto wa Baba mmoja,
Zinaweza kuwapo fujo lakini ni fujo zisizoumiza, fujo za kisiasa, fujo za kutukanana mitandaoni, lakini haziumizi
Tuwapinge Kwa nguvu zote wenye kutaka kutugawa, awe ni wa CCM ama mwingine kokote kule, tumtilie mashaka uraia wake, maana Sisi asili yetu ni udugu, umoja upendo na mshikamano
Tanzania idumu milele
Udini, ukabila, rangi ya mtu na ubaguzi wa kujumla wa binadamu, hautakiwi hapa Tanzania, mtanzania sio lazima awe mbantu wa Tanganyika, anaweza kuwa mweupe, mwarabu, msomali, mwanamke, shoga, mkristu au muislamu.
Hio ndio siri ya sisi wabongo kutokuwa na mavita ya kijinga kijinga mpaka leo, sijui wengine wataelewa haya lini....!