- Thread starter
- #101
Wewe ni mwenyeji tu lakini sio raia halali! kama unabisha taja kabila !ako tukupe historia yako maana inaonekana wewe una uraia wa mazoea ila hujui asili yako ni wapi!
Wewe al-shabab wa kike wewe ndivyo mnavyojidanganya hivyo eti tukizusha ishu ya uzalendo na utaifa wa mtu kutabaki tz hakuna mwenyewe!!?? sasa makabila ya tz kama ni hivyo yalitoka wapi?? na huko yalikotoka una hakika kabisa kwamba ndio kwao??
Tz ina wenyewe ambao ndio sisi tunaohoji ishu za uraia na uzalendo wa wa2, kama rage anawapenda wasomali moyoni kwake kwa nini asifane kama yule dr.muhamed aden (tanzania) yeye alitangaza wazi wazi kuwa ingawa kazaliwa arusha tz lakini baba ake ni msomali aliyekimbia vita kule ethiopian somali land na alirudi kwao somalia miaka hiyo ya 70s na ilipofika miaka ya 90s vita vikazuka somalia akaona aibu kurudi tena tz kwa wa2 aliokwisha kuwakana akakimbilia zake huko USA,
tunataka rage na kinana wawe na ujasiri kama huo waseme tu kuwa sisi tunauraia wa tz lakini mioo etu imelala na wasomali na kama ikitulia somalia tutarudi kwetu ili tuwaelewe mapema.
