Rafiki yangu kaniaminisha mwanamke aliye kwenye mahusiano huwezi kuchati mpaka saa nane usiku

The Lastdream

JF-Expert Member
Jan 23, 2024
1,578
3,475
wakuu ni Adje.

Mechi ya South Africa na Nigeria tulikuwa tunacheki mshkaj wetu mmoja akawa kuna demu anamfukuzia, sasa mpaka usiku mrefu anachat nae akawa anatuambia demu anasema yupo na mtu wake.

Jamaa wangu mmoja akajibu hivi.

Hakuna mwanamke aliyepo kwenye mahusiano na anaishi na mwanaume ukamkuta anazunguka saa 5 mpaka saa7 usiku mtandaoni. Huyo ni mdanganyi 😂😂

Nikauliza kwani yeye hapaswi kupenda mpira, akasema hakuna mwanamke wa hivyo, aidha anapitia stress au yupo singo ila mwanaume inawezekana, lakini kwa nature ya mwanamke hiyo mechi kuangalia mpira upo nae unaweza usiimalize mkaimalizia kitandani.

Binafsi kwa upande wangu hili nalikubali kama unangalia na demu mpira ndani mnaweza msimalize hiyo mechi mkaiamishia kitandani.

sasa nashangaaga Whatsapp unakuta demu mpaka saa7 usiku na anakuambia yupo na mpenzi wake😂

Embu wanaume wenzangu tujadili hili suala linawezekana kwa asilimia ngapi?
 
wakuu ni Adje.

Mechi ya South Africa na Nigeria tulikuwa tunacheki mshkaj wetu mmoja akawa kuna demu anamfukuzia, sasa mpaka usiku mrefu anachat nae akawa anatuambia demu anasema yupo na mtu wake.

Jamaa wangu mmoja akajibu hivi.

Hakuna mwanamke aliyepo kwenye mahusiano na anaishi na mwanaume ukamkuta anazunguka saa 5 mpaka saa7 usiku mtandaoni. Huyo ni mdanganyi

Nikauliza kwani yeye hapaswi kupenda mpira, akasema hakuna mwanamke wa hivyo, aidha anapitia stress au yupo singo ila mwanaume inawezekana, lakini kwa nature ya mwanamke hiyo mechi kuangalia mpira upo nae unaweza usiimalize mkaimalizia kitandani.

Binafsi kwa upande wangu hili nalikubali kama unangalia na demu mpira ndani mnaweza msimalize hiyo mechi mkaiamishia kitandani.

sasa nashangaaga Whatsapp unakuta demu mpaka saa7 usiku na anakuambia yupo na mpenzi wake
Embu wanaume wenzangu tujadili hili suala linawezekana kwa asilimia ngapi?
Sawa

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
wakuu ni Adje.

Mechi ya South Africa na Nigeria tulikuwa tunacheki mshkaj wetu mmoja akawa kuna demu anamfukuzia, sasa mpaka usiku mrefu anachat nae akawa anatuambia demu anasema yupo na mtu wake.

Jamaa wangu mmoja akajibu hivi.

Hakuna mwanamke aliyepo kwenye mahusiano na anaishi na mwanaume ukamkuta anazunguka saa 5 mpaka saa7 usiku mtandaoni. Huyo ni mdanganyi 😂😂

Nikauliza kwani yeye hapaswi kupenda mpira, akasema hakuna mwanamke wa hivyo, aidha anapitia stress au yupo singo ila mwanaume inawezekana, lakini kwa nature ya mwanamke hiyo mechi kuangalia mpira upo nae unaweza usiimalize mkaimalizia kitandani.

Binafsi kwa upande wangu hili nalikubali kama unangalia na demu mpira ndani mnaweza msimalize hiyo mechi mkaiamishia kitandani.

sasa nashangaaga Whatsapp unakuta demu mpaka saa7 usiku na anakuambia yupo na mpenzi wake😂

Embu wanaume wenzangu tujadili hili suala linawezekana kwa asilimia ngapi?
Tujadili Nini na umemaliza mjadala😂😂
 
Hongera jamaa yako yupo vzur
kuna wakati unakuta mume kasafiri yupo mbali na ukiniona nipo online pengine nachat naye.
Kuna wakati majukumu kutwa nzima yanabana, usiku muda wa kulala unapita mtandaoni kuangalia ni nini kilijiri.
Kuna watati mume anakuwa busy na issue zake za kazini, na wewe unapata muda wa kuperuziii. Kwahiyo ni kawaida sana mkuu haihitaji hata hongera.
 
Hata kama kakudanganya wakati mwingine ndio muwe mnajiongeza mkiona majibu kama hayo mjue mmekataliwa, mnaforce mahusiano halafu mkiombwa hela kidogo mnaanza kulialia na kutukana wanawake wote, wakati hapo unaona kabisa huyo mwanamke kashakuwashia taa nyekundu ila unakomaa tu kutafuta visababu vya kulazimisha kuwa naye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom