Chawa wa lumumbashi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 793
- 1,749
Mwanangu mmoja wa kitambo sana wa mzizima ambaye tulisoma wote shule.ya msingi forodhani then Azania halafu tukakutana nae tena kibaha sekondari ameni Dm leo X ya kwamba amebadilisha jinsia kisa eti maisha magumu
Mwanangu long time ago alizamia south Afrika na now day yupo marekani kwahiyo ameniambia ameamua kubadilisha jinsia(transgender) ili aolewe na anasema maisha magumu ni source
Baada ya hapo nikamblock na nimefikisha hilo jambo kwa wazazi wake vijana acheni tamaa za kijinga
Mwanangu long time ago alizamia south Afrika na now day yupo marekani kwahiyo ameniambia ameamua kubadilisha jinsia(transgender) ili aolewe na anasema maisha magumu ni source
Baada ya hapo nikamblock na nimefikisha hilo jambo kwa wazazi wake vijana acheni tamaa za kijinga