Nia yangu uchukue...Aje akupeleke ukalale make naona unanizeveza tu hapa na maneno yako yakunikera!
Tuvitu fulani ndiyo kama vipi??Napokumbuka tuvitu flani flani ndo naumia kweli..... Amenifanya kuwa na tabia moja hio mh! Sijui kwanini yani
Ameshalala muda tu..Aje akupeleke ukalale make naona unanizeveza tu hapa na maneno yako yakunikera!
Ukiona vitu vinafanywa siri.. Hivyo siyo vitu vizuri...Siri yangu nayeye tu!
Sasa hicho ndiyo ulisema siri... But mbona umechukia na kumchukiza... Na hata sasa hivi umekasirika mpaka unaniitia Kasinde..Kitu mojawapo alonifundisha rafiki huyo ni kujizuia kutochukia na kutokuwa na hasira za haraka haraka! I'm so grateful kwakweli!
Kwa hiyo mlikuwa mnafanyiana... Na wewe ukapenda zaidi.. Mwisho wa siku unachukia..Ni vizuri hata yeye alikua anavipenda!
Hakuna kilichokuwa kama zaidi ya viungo vyako vya uzazi... Wewe sema tu ni nini hivyo...No hiko sio siri.. Kuna pahala nilisema he was a mentor and counselor to me.. Pia kuna the funniest and craziest moments ndokama hio siri
[emoji36] mambo ya PM hayo AsprinBasi siku zote ukawa unanidanganya wewe bado bikra... khaaa!!