Nilikutania tu mkuu, mimi sio afisa interview endelea tu kuchat. Baadaemimi ni "Me"
mimi ni "Me"
Nilikutania tu mkuu, mimi sio afisa interview endelea tu kuchat. Baadae
Ukichat sana utapanda cheo na kua 'Mee'
Alinimbia kuna ku chat.. Nafikiri ndo hapa..wadau..
Mimi ndio afisa interview katika hili jukwaa la chit chat.
Enhee jinsia yako pliz?
me unajiita walinazi??
Una matandu??
kongs mambo??
kwan vip unataka uuparue?au upakue kabisa?
mimi ni "Me"
mie nimezeeka, matandu siyawezi.
Angekuwa boko boko hapo tungeelewana.