Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,088
- 8,221
Naku PM Mkuu na Mimi uniwekezee milioni 30 kwa huyo jamaa yAko...please please...aisee..au nikuone wapi!?
Mama yako anaweza kukutunza kwa taabu af mwisho wa siku umtupe kisa mwanamke?Mtegemea Cha nduguye hufa maskini. Tafuteni vya kwenu
Hiyo ya wadudu watu walishatoka huko, Kuna madawa mengi Sana yapo ni wewe tuHapo kwenye kusubiri bei ipande kuna wadudu wabaya walewanaweza wasikuache salama wakatafuna mtaji kidogo
Ndio hiki anafanya na Mimi nimeanza kufanyaUkitaka kupata pesa kwenye kilimo kuwa mfanyabiashara. Unanunua mazao kwa mkulima unaenda kuuza ila ukitaka kuwa mkulima utakufa masikini. Utapata pesa ya kubadilisha mboga tu lkn huwezi kupata pesa nyingi ukiwa km mkulima
Kama huna pesa ni Bora ukalima, Ila Kama una pesa nenda kalangueMkuu umeandikaa vyemaa sema hujaelezeaa kinaga ubagaa Jinsi ya kufanya Biashara hapo Kibaigwaa.... either Ni kwa kulima or kununua Mazao na kuyauza...
Nimeanza kukuelewa, kuwa huenda mke wake ndio anachangia hayo.Mama yako anaweza kukutunza kwa taabu af mwisho wa siku umtupe kisa mwanamke?
Ndio ipo hivyo Kama ni Mara yako ya kwanza utaumia, Ila Kama ulishakuwa mfanyabishara mkubwa hiyo ni kawaidaSitasahau mahindi ya kibaigwa yalivyonitenda.kipindi kile mahindi yakashuka bei hadi 200 kwa kilo
Thanks mkuu nimekuelewa.Nimeanza kukuelewa, kuwa huenda mke wake ndio anachangia hayo.
Ishawahi kutokea kwa Mtu wa karibu, poleni Sana. Huyo kurudi kwenye muombe Mungu tu, hapo kishaachana na nyie. Sometimes wanawake sio kabisa
Duuh halafu ukija kwenye mzani debe sita kg 110Wateja n weng sana tu mbona , mfano mm niliuzia shamban hapo hapo yan sikununua hata mifuko ya kuweka
Mzigo unapimwa kwa debe tu zikikamilika 6 gunia inahesabiwa 1 hiyo
Uko sahihi.Hana akili huyo mwaka.juzi 2019 mwishoni yalifika hadi 20000 kwa debe, na hiyo ni Bei nzuri Sana .
Kulima hapana, kulangua YESThanks mkuu nimekuelewa.
Baasi kutokana na mafanikio yake kwen kilimo ndio maana nakuunga mkono ufanye hiyo business, bro ana heka 1000+ kwa msimu anapiga kama 350+M.
We kuwa tu makini na matapeli. All the best.
Yaani ulime heka 20 kwa laki sita?Mkuu nenda na kiteto kule mashamba ni makubwa na ni bei rahisi hayana thaman unaweza kupata shamba heka 20 kwa 500,000/= (laki tano tu) mahindi yanakubali sana na kupalilia watu wanapalilia heka 1 kwa tsh10k tu hivyo hivyo nq kuvuna.
Kwenye heka moja unaweza kupata had gunia 9 na gunia moja ni 45,000/=
Ukivuna heka 20 una uhakika wa 8M kama mambo yataenda vizuri
Huku wewe ukiwa umewekeza Sana sana 600k .
Mimi nimepata bahat ya kupata shamba heka 20 kwa laki mbili tu
(Nenda mwenyewe kafanya utafiti kama una nia kule pesa ipo na mvua ni nying tofaut kdogo na dodoma )
Inawezekana kabsa shamba likiwa lako ikiwa la kukod gharam zinaongezeka lakn haifiki hata 1.8MYaani ulime heka 20 kwa laki sita?
Upo sahihi! Ukitaka utajiri kwenye kilimo hasa mahindi angalau fikiria kuanzia heka hamsini!Mkuu kilimo kinalipa kwa njia anazosemea jamaa..kununua mazao sio upande eka 5 ukitgemea kutajirika .hizo unapata za mboga tu
Mkuu nipo Songea na kilimo cha mahindi ndio kinaniweka mjini ukitaka kulima heka kumi angalau uwe na milioni nne! Hiyo laki sita haitoshi hata kukodia trekta kulima hizo heka ishirini! Huko mnatumia mbinu gani?Inawezekana kabsa shamba likiwa lako ikiwa la kukod gharam zinaongezeka lakn haifiki hata 1.8M
From 2005 hakika una experience ya kutoshaAnything is possible.mm kibaigwa napajua sana biashara karibia zote.
Labda sijaelewa biashara yenu lakini kwamba biashara ya mahindi ununue malori mmmmh hapo nina Mashaka.
Wafanyabiashara wakubwa wa mahindi kibaigwa wanapeleka unga Zanzibar na faida ni ndogo sana.
Kenya wanapeleka wenyewe wakenya wanakuja kununua sokoni.Kwa mtanzania kupeleke Kenya ni ngumu kulingana na masharti ya wizara.
Mkuu nakushauri fuatilia hizo hela zako ni ngumu sana mtu kumaliza chuo 2018 ajue biashara ya kibaigwa Kwa mda mfupi.pale kibaigwa watu wanatapeliwa,wakenya wamelizwa sana (sijaamaanisha jamaako tapeli).
Kingine ambacho kinatakiwa kikushtue ni faida aliyokutajia yaani kutoka mil 25 hadi 60mil ni parefu sana.
Watu wanaopiga hela kidogo kibaigwa niwale wanaoweka stoo kina Gwajima wamejenga godowns lakini bado hawapati faida uliotaja.
Biasahara ya mahindi nimefanya tangu miaka 2005.
Take care