Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,014
- 8,079
Hiyo biashara unayotaka kufanya ishapitwa na wakati. Pesa haipatikani kirahisi namna hiyo.
Nenda kibwaigwa, fanya research, onana na huyo jamaa akupe mbinu alizotumia. Kisha fanya biashara wewe km wew kwa msaada tu wa jamaa, lbd anaweza kuunganisha na wakulima.
Nenda kibwaigwa, fanya research, onana na huyo jamaa akupe mbinu alizotumia. Kisha fanya biashara wewe km wew kwa msaada tu wa jamaa, lbd anaweza kuunganisha na wakulima.
Naku PM Mkuu na Mimi uniwekezee milioni 30 kwa huyo jamaa yAko...please please...aisee..au nikuone wapi!?