zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,077
- 26,006
inawezekana mimi na alie disco ndo wenye akili ndogo humu jf, maana kila mmoja anashangaa jamaa ku disco kwamba elimu ya chuo rahisi sana.
hapa sijajua wanaosema rahisi ni wa vyuo gani, au ni wale wanaopewa sehemu za kusoma na kuambiwa mtihahi utatoka hapa, ama wale wanaoletewa maswali yaliyokwisha fanywa kwenye makutano yao,ama mitihani ya zamani.
hapa sijajua wanaosema rahisi ni wa vyuo gani, au ni wale wanaopewa sehemu za kusoma na kuambiwa mtihahi utatoka hapa, ama wale wanaoletewa maswali yaliyokwisha fanywa kwenye makutano yao,ama mitihani ya zamani.
