dalali-mkuu
Member
- Oct 5, 2016
- 51
- 21
- Thread starter
- #21
Sio mm rafiki yanguRafiki yako au wewe?
Sio mm rafiki yanguRafiki yako au wewe?
Duu asubil mpaka mwakan !!!ahaaaa kuliwa kichwa on air kama amedisko asubiri mwakani kwa ajili ya kuanza upya kwani kwa sasa CAS za nacte na tcu hazifanyi kazi mpaka mwakani duuu kudisko kuchungu sana wajameni pole ndo maisha hayo ama afanye plan B tu
Wanasema ndege wenye bawa moja huruka pamoja, mkuu kwa mwandiko huu hata wewe andaa kichwa kinyozi anakaribia kwako.Rafiki yangu ana soma mzumbe mwaka wa 2 matokeo yame toka amedisko...ana fanya mpango wa ku appeal ..da namuonea sana huruma mana jana jilipia ata bumu hapati ..ALAFU NI MTOTO WA KIKE..nimsaidiaje wakuu naomben mawazo yenu
DaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaWanasema ndege wenye bawa moja huruka pamoja, mkuu kwa mwandiko huu hata wewe andaa kichwa kinyozi anakaribia kwako.

We ndo umediscoRafiki yangu ana soma mzumbe mwaka wa 2 matokeo yame toka amedisko...ana fanya mpango wa ku appeal ..da namuonea sana huruma mana jana jilipia ata bumu hapati ..ALAFU NI MTOTO WA KIKE..nimsaidiaje wakuu naomben mawazo yenu
sasa hafanyaje ndugu vinginevyo aombe apo mzumbe tena arudie mwaka ila warning wanafunzi wote ina bidi wadailiwe kupitia TCU na NACTE au akasome short course yoyote mwaka si mrefu wa kumi apuliza filimbi kwa ajili ya mwaka wa kwanza N.B KUDISKO SIYO MWISHO WA MAISHADuu asubil mpaka mwakan !!!
Rafiki yangu ana soma mzumbe mwaka wa 2 matokeo yame toka amedisko...ana fanya mpango wa ku appeal ..da namuonea sana huruma mana jana jilipia ata bumu hapati ..ALAFU NI MTOTO WA KIKE..nimsaidiaje wakuu naomben mawazo yenu
ndo humtajie hiyo shughuli maana watu wa kidisko utasikia nipo china nasoma au sina ada noma sana kuna chuo X ni kawaida 1000 kuwalamba kichwamtu aki Disco ame Disco sioni mmbadala zaidi y kutafuta shughuli
Dah mkuu mim ndo napga apo saiv daaah napambana na hali angu mambo ni magumuuuuuSisi cheti tulianza 116 IAA kozi yetu mpaka tunamaliza diploma tumemaliza 46 na wengine hawajafikisha GPA kati ya hao 46. Mpe pole sana asee inauma sisi waliodisco ni wale wanajifanya wametoka dar watoto wa mujini kumbe kichwani hakuna kitu...
ukiongea weka na akiba ya maneno. kudisco si kwamba husomiHivi mtu ana-disco chuo alikuwa anasoma au anacheza tu. Hakuna elimu iliyo rahisi kufaulu kama chuo kikuu. Hii semester system ni ya ku-disco kweli? Kwangu mimi kitabu kigumu ni mtihani wa form 4 na form 6.
dah....rafiki yangu pia alidisko pale.kamatii ilikaa
tukafanikiwa:
techniues
1.fata lecture m moja m moja wa.kla coarse
2.adult zine.za.kutosha
3.Make any adult conficing.liars.
4.Amfate lecture 1amabaye anahisi. atamsadia
sababu mzumbe kuna ile accumulation sups. ategue moja.
Kwa huu uandishi basi hata wewe pia Ulidisko.
Yaani huwezi kukubali kuwa hawa ni wanafunzi wa chuo, ujinga ujinga tu.
Sawa mkuu point yako ni nzuriase pole yake mkuu,dah hatar sana ase watu tumeponea kudisko yani acha tu,cha msing awe mpole kwanza akili yake itulie then ajaribu kufaham nin lilikuwa tatzo mpaka akadisko mana kam anatak kuappeal means ana uhakika alifanya vema,ila kama alifeli halali bas ajaribu kupeleleza au kufatilia kam kuna njia yoyote au mtu wa kumsaidia mana najua lada kuna weng washawahi kudisko ila wamerudi kuemdlea kusoma chuo,apate ushauri kwa watu wazur wa karbu anaowafahamu hapo chuo.apate pa kuanzia
Lin kweny maisha hivi vitu hutokeaYani hata sio sup, ni disco
kweli mnacheza sana huko vyuoni hamko serious hata kidogo, kuna wenzenu wanaitafuta hiyo nafasi wanaikosa, mtakuja kushtuka kumeshakucha
Hapana hiyo sababu yako ya pili sio ya kweli.Kudico kupo kwa aina mnbili, kwa kushindwa kihalali au kufelishwa kwasababu mbalimbali(mapenzi, chuki binafsi n.k)