Rafiki wa mume wangu ananitaka

Wanaume tuheshimiane jamani huu ni upuuzi,mke wa rafiki yako na mjini wadada wengi hivi unataka nini tena? kwanini unadhamilria kabisa kuiua ndoa ya mwenzako angali unae wako?

Tujiheshimu sana sana kwa marafiki zetu jamani,ni wito tu kwa wanaume.
 
nimesoma hapa hapa jf jana kwamba kuna mtu kawekewa sumu kwenye pombe kisa kutembea na mke wa mtu
tuepushe matatizo kwa kujifunza
 
Jaman, hebu nisaidieni ktk hili, mimi nimeolewa na nnampenda sn mume wangu, sijawahi kumsaliti tokea nimekutana naye.

Hivi keribuni amenitambulisha kwa rafiki yk ambaye alionekana mstaarabu kumbe mnafiki. Rafiki yake huyo ameoa ila cha kushangaza ananitaka mimi wakati mi ni mke wa mtu. Amekuwa akinishawishi kwa kw mme wangu ni mtu wa safari na yeye mke wake anafanya kazi mkoani. Mi nimemgomea kabisaa.

Asa nisaidieni, je nimweleze mume wangu, ila naogopa kuharibu mahhusiano yao, na vlvl naogopa siku mume wangu akijua km jamaa ananitokea! Naombeni ushauri!

katika mambo yanayohusu pande mbili..ukitaka kuyapatia ufumbuzi mzuri hebu vaa viatu vya mwenzio then waza ingekuw ww ungejiskiaj kama mkeo anatongozwa na frnd wako then akwambii..Lamsingi mtel mumeo coz ni mwenza wako na amini hatakuwa na maamuzi yasiyo na busara..mwambie kabla hajajua mwenyewe...
 
Huyu ndiye mwanaume WA kwanza kukutongoza toka uolewe?
Nalog off

Swali zuri... Maana hawa wanawake, wakiona aliyewatokea hawampendi, ndo fullu kushitaki... Sasa ukute katokewa na anayemzimikia... Anaachia mzigo uliwe halafu kimyaaaaaaa kama vile hagegedwi nje ya ndoa
 
angalia unachokithamini kati ya mumeo na huyo rafki yake. Kama utamwambia mumeo uwe tayari kwa lolote pia kwani kibao kinaweza kukugeukia.
 
Mwambie mumeo ili amuonye maana sio tabia nzuri wala usijishaurii kama humpendi mumeo utanyamaza na una nia ya kumkubali huyo rafiki

OKOA NDOA YAKO
maana ukiachika huyo mharibifu hatakuoaa anakutaka kwa vile upo kwa mume wako unagharamikiwaa
 
Wanaume tuheshimiane jamani huu ni upuuzi,mke wa rafiki yako na mjini wadada wengi hivi unataka nini tena? kwanini unadhamilria kabisa kuiua ndoa ya mwenzako angali unae wako?

Tujiheshimu sana sana kwa marafiki zetu jamani,ni wito tu kwa wanaume.
.....siyo kosa lao japo inaweza kuwa ngumu kueleweka....ukweli ni kuwa ME hao kuna kuwa na nguvu ya kishetani ndani yao....

 
We anily kama kweli unampenda mumeo ungeshafanya maamuzi!! Ushauri unatafuta ili iweje?

Haya, ushauri mzuri ni wa mzee wa rula hapo juu...

Acha kuwa dhaifu..

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Jaman, hebu nisaidieni ktk hili, mimi nimeolewa na nnampenda sn mume wangu, sijawahi kumsaliti tokea nimekutana naye.

Hivi keribuni amenitambulisha kwa rafiki yk ambaye alionekana mstaarabu kumbe mnafiki. Rafiki yake huyo ameoa ila cha kushangaza ananitaka mimi wakati mi ni mke wa mtu. Amekuwa akinishawishi kwa kw mme wangu ni mtu wa safari na yeye mke wake anafanya kazi mkoani. Mi nimemgomea kabisaa.

Asa nisaidieni, je nimweleze mume wangu, ila naogopa kuharibu mahhusiano yao, na vlvl naogopa siku mume wangu akijua km jamaa ananitokea! Naombeni ushauri!

Mpe urafiki unoge au mkaribishe for threesome.
 
Rafiki wa mumeo nae mumeo huyo kama ilivyo mtoto wa mwenzio wako
 
Huyu ndiye mwanaume WA kwanza kukutongoza toka uolewe?
Nalog off

swali zuri,wife wangu kila mara marafiki zangu huwa wanamtongoza na wengine wanajidai wamekosea namba huwa ananieleza na hao jamaa sijakisana nao wala nini ila nimewajua tu tabia zao.kama mumeo ana kifua mweleze kila anayekutongoza
 
hv mpaka shem wako anakutongoza inakua ktk mazingira yapi? na wewe unajiwekaje wekaje kwake mpaka anapata hiyo chance ya kukutongoza pengine kaona ni loose ball' cha msingi mweke wazi kuwa we ni mke wa rafiki yake, wala haina haja ya kumwambia mumeo. mwanamke anayejiamini anaface challenges na kusimamia kile anachokipinga. kwa kuomba ushauri tu humu ushaprove failure, ulipaswa utuambie umeshamkataa ana kwa ana then bdo anakusumbua atleast tungekusikiliza na kukushauri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom