Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Huyu ndiye mwanaume WA kwanza kukutongoza toka uolewe?
Nalog off
Nalog off
Jaman, hebu nisaidieni ktk hili, mimi nimeolewa na nnampenda sn mume wangu, sijawahi kumsaliti tokea nimekutana naye.
Hivi keribuni amenitambulisha kwa rafiki yk ambaye alionekana mstaarabu kumbe mnafiki. Rafiki yake huyo ameoa ila cha kushangaza ananitaka mimi wakati mi ni mke wa mtu. Amekuwa akinishawishi kwa kw mme wangu ni mtu wa safari na yeye mke wake anafanya kazi mkoani. Mi nimemgomea kabisaa.
Asa nisaidieni, je nimweleze mume wangu, ila naogopa kuharibu mahhusiano yao, na vlvl naogopa siku mume wangu akijua km jamaa ananitokea! Naombeni ushauri!
Huyu ndiye mwanaume WA kwanza kukutongoza toka uolewe?
Nalog off
.....siyo kosa lao japo inaweza kuwa ngumu kueleweka....ukweli ni kuwa ME hao kuna kuwa na nguvu ya kishetani ndani yao....Wanaume tuheshimiane jamani huu ni upuuzi,mke wa rafiki yako na mjini wadada wengi hivi unataka nini tena? kwanini unadhamilria kabisa kuiua ndoa ya mwenzako angali unae wako?
Tujiheshimu sana sana kwa marafiki zetu jamani,ni wito tu kwa wanaume.
Jaman, hebu nisaidieni ktk hili, mimi nimeolewa na nnampenda sn mume wangu, sijawahi kumsaliti tokea nimekutana naye.
Hivi keribuni amenitambulisha kwa rafiki yk ambaye alionekana mstaarabu kumbe mnafiki. Rafiki yake huyo ameoa ila cha kushangaza ananitaka mimi wakati mi ni mke wa mtu. Amekuwa akinishawishi kwa kw mme wangu ni mtu wa safari na yeye mke wake anafanya kazi mkoani. Mi nimemgomea kabisaa.
Asa nisaidieni, je nimweleze mume wangu, ila naogopa kuharibu mahhusiano yao, na vlvl naogopa siku mume wangu akijua km jamaa ananitokea! Naombeni ushauri!
Huyu ndiye mwanaume WA kwanza kukutongoza toka uolewe?
Nalog off