Murukulazo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 574
- 219
...waungwana wala msihangaike na uyo mtu,anatuyeyusha tuu kashaingia kwenye kumi na nane za uyo njemba anajifanya eti anataka ushauri!
....Amekuwa akinishawishi..... Mi nimemgomea kabisaa.
Asa nisaidieni.....Naombeni ushauri!
Usimwambie mumeo kama huyo jamaa aliyekutongoza hakubughudhi sana maana kuna wanaume akikutongoza inakuwa kero.
Kama ikizidi na ukalazimika umwambie mumeo basi jitahidi kutumia indirect method, mfano tu unaweza tu kumwambia mumeo. Hivi mume wangu fulani ulijuana nae vipi? Ni lazima atakuuliza kwa nini? Unamjibu, mimi ninavyomuona kama hajatulia vile yaani macho yake yapo juu juu.
Akikuambia amekutongoza nini? Hapana ila naona kwa jinsi anavyoniangalia ni kama anataka kusema kitu ila anashindwa.
Akija jamaa unamwambia ukiendelea kunisumbua nitamwambia mume wangu maana nimeshakwambia sitaki.
Jambo lingine kama ushauri kwako,
Usimpe nafasi akushike hata kiungo chako kimoja hata kwa kukusifia kisha akajitia anataka kukugusa. Akifanya hivyo kuwa mkali na uonyeshe haupendi ujinga wake huo kabisa.
Pili kama akipiga simu usimchekee kama unongea na mpenzi wako, just be straight, hallow hallow, vipi safi. Eeeh nikusaidie nini au una shida gani? Ajue huna matani na wala haitakaa uitokee umsaliti mumeo kwa ajili yake.
Ni hayo tu.
[/color]Asa nisaidieni, je nimweleze mume wangu, ila naogopa kuharibu mahhusiano yao, na vlvl naogopa siku mume wangu akijua km jamaa ananitokea! Naombeni ushauri!
Pole sana...nadhani wewe ni mnafiki zaidi. Nikuulize ni ushauri gani unaotegemea hapa? Kwa taarifa yako tu ni kuwa kama kweli unampenda mume wako ungeshamshirikisha mapema kabisa...nisema umechelewa sana. Pili kama si tabia yako kutoka nje ya ndoa yako basi huyo rafiki ya mume wako amekuona wewe ni cheap tu. Samahahi...nahisi kama umeshatembea na huyo family friend at least in your mind.
Niseme kitendo cha wewe kushiriki ktk maongezi ya kutakana kimapenzi na kuja hapa jukwaani kutuambia kwamba "umemgomea kabisa" si sahihi hata kidogo. If I may ask huwa mnaongeleaga wapi...ni kwa simu au mume wako akiwa yupo safari? Nakushauri utubu haraka sana kwani kama ni kweli unachosema basi njia sahihi unaifahamu.
Usimwambie mumeo kama huyo jamaa aliyekutongoza hakubughudhi sana maana kuna wanaume akikutongoza inakuwa kero.
Kama ikizidi na ukalazimika umwambie mumeo basi jitahidi kutumia indirect method, mfano tu unaweza tu kumwambia mumeo. Hivi mume wangu fulani ulijuana nae vipi? Ni lazima atakuuliza kwa nini? Unamjibu, mimi ninavyomuona kama hajatulia vile yaani macho yake yapo juu juu.
Akikuambia amekutongoza nini? Hapana ila naona kwa jinsi anavyoniangalia ni kama anataka kusema kitu ila anashindwa.
Akija jamaa unamwambia ukiendelea kunisumbua nitamwambia mume wangu maana nimeshakwambia sitaki.
Jambo lingine kama ushauri kwako,
Usimpe nafasi akushike hata kiungo chako kimoja hata kwa kukusifia kisha akajitia anataka kukugusa. Akifanya hivyo kuwa mkali na uonyeshe haupendi ujinga wake huo kabisa.
Pili kama akipiga simu usimchekee kama unongea na mpenzi wako, just be straight, hallow hallow, vipi safi. Eeeh nikusaidie nini au una shida gani? Ajue huna matani na wala haitakaa uitokee umsaliti mumeo kwa ajili yake.
Ni hayo tu.
keshakulegeza magoti???
Ukiona unashindwa mkataa mtu hadi usaidiwe, jua kuna tatizo mahali.