pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,245
- 3,731
Mimi huwa sina na siwezi kuwa na urafiki na mwanamke ila naweza kuwa nae katika ushirika wa kibiashara...je naweza kukutafuta?
Mimi huwa sina na siwezi kuwa na urafiki na mwanamke ila naweza kuwa nae katika ushirika wa kibiashara...je naweza kukutafuta?
Ndio maana nakupenda..!
I beg to differ, kila kitu na mahali pake. Ukienda majukwaa tofauti utaona mada husika. Mfano, nenda sc & tech. na utaona watu wanajadili nothing but sc & tech. sasa huyu 100bytes ameleta urafiki wa kibiashara mahali sio pake. MMU is all about friendship and relationships...!