Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 47,775
- 257,516
Pole Sana ndoa zinachangamoto nyingi Sana hii unaweza Iona kubwa ila kuna makubwa zaidi ya hayo yako.
,Kama unaona huwezi kuvunja hayo mahusiano, bado unaipenda ndoa yako jifunze kudharau, mdharau mumeo na huyo Dada, simu ya mumeo Ione Kama Bomu LA machozi, kuwa busy na maisha yako hapo nyumbani na chuoni. Akiwa busy na simu yake usiku na wewe washa yako cheza hata game ya nyoka . Vaa vizuri pendeza weekend tafuta mitoko huna ,nenda chuo huko kazuge zuge.
Usimuulize chochote kuhusu huyo rafiki yake jifanye Kama huoni japo inauma ila ndio dawa kadri unavyolizungumzia hill swala yeye anapata kiburi na sifa .
Badilisha mfumo wa maisha yako , iko siku atakuuliza au kukudodosa kwanini huna habari naye humfatilii jibu ni moja siwezi kuwafatilia MTU na rafiki yake. Huku ukiendelea na utaratibu wako wa awali .
,Kama unaona huwezi kuvunja hayo mahusiano, bado unaipenda ndoa yako jifunze kudharau, mdharau mumeo na huyo Dada, simu ya mumeo Ione Kama Bomu LA machozi, kuwa busy na maisha yako hapo nyumbani na chuoni. Akiwa busy na simu yake usiku na wewe washa yako cheza hata game ya nyoka . Vaa vizuri pendeza weekend tafuta mitoko huna ,nenda chuo huko kazuge zuge.
Usimuulize chochote kuhusu huyo rafiki yake jifanye Kama huoni japo inauma ila ndio dawa kadri unavyolizungumzia hill swala yeye anapata kiburi na sifa .
Badilisha mfumo wa maisha yako , iko siku atakuuliza au kukudodosa kwanini huna habari naye humfatilii jibu ni moja siwezi kuwafatilia MTU na rafiki yake. Huku ukiendelea na utaratibu wako wa awali .