Itoye
JF-Expert Member
- Sep 29, 2017
- 531
- 1,026
Pole sana dada kwa changamoto hiyo.
Nakushauri usiendelee kuhangaika kuvunja huo urafiki maana wa kuuvunja ilitakiwa awe mmeo baada ya kukuoa, ila inaonekana bado kwenye eneo hilo kichwa chake hakijakubali kuwa ameshahama kutoka daraja moja la maisha na kuingia daraja jingine.
Nakushauri ww tengeneza mazingira ya ndoa, nyumba na privacy yenu kuheshimiwa ongea na mumeo umwambie unachotaka na uchore mstari ambao mmeo na huyo binti hawatakiwi kuvuka mfano hiyo kupigiana simu hadi usiku mrefu mwambie hutaki, kuja nyumbani kwako wakati ww haupo piga marufuku kama wanataka kuonana waende bar but not in ur house tena in ur absence, nk nk nk.
Ukiona anaendelea kuzingua omba kikao cha familia akakutane na wanaume wenzake wamweke sawa.
NB: Acha kupekua pekua simu ya mmeo.
Nakushauri usiendelee kuhangaika kuvunja huo urafiki maana wa kuuvunja ilitakiwa awe mmeo baada ya kukuoa, ila inaonekana bado kwenye eneo hilo kichwa chake hakijakubali kuwa ameshahama kutoka daraja moja la maisha na kuingia daraja jingine.
Nakushauri ww tengeneza mazingira ya ndoa, nyumba na privacy yenu kuheshimiwa ongea na mumeo umwambie unachotaka na uchore mstari ambao mmeo na huyo binti hawatakiwi kuvuka mfano hiyo kupigiana simu hadi usiku mrefu mwambie hutaki, kuja nyumbani kwako wakati ww haupo piga marufuku kama wanataka kuonana waende bar but not in ur house tena in ur absence, nk nk nk.
Ukiona anaendelea kuzingua omba kikao cha familia akakutane na wanaume wenzake wamweke sawa.
NB: Acha kupekua pekua simu ya mmeo.

