Una mpango wowote wa kumla tunda?Wanajamii naombene ushauri. Nina rafiki angu wa kike tunapendana sana lakini sio mpenzi wangu, sasa anahitaji nimkopeshe 100,000/=
So nafaa nimpe au nimuache?
Sent using Jamii Forums mobile app
Una mpango wowote wa kumla tunda?Wanajamii naombene ushauri. Nina rafiki angu wa kike tunapendana sana lakini sio mpenzi wangu, sasa anahitaji nimkopeshe 100,000/=
So nafaa nimpe au nimuache?
Sent using Jamii Forums mobile app
anakopeshwa ila utalipwa kitu kingine sio kile ulichomkopeshaWanajamii naombene ushauri. Nina rafiki angu wa kike tunapendana sana lakini sio mpenzi wangu, sasa anahitaji nimkopeshe 100,000/=
So nafaa nimpe au nimuache?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini sio maisha...hela utapata nyngne tena et
Lakini sio maisha...hela utapata nyngne tena et
Apana bana...ata kwenye biblia imeandikwa tuwe tunasaidiana
Apana bana...ata kwenye biblia imeandikwa tuwe tunasaidiana