Rafiki wa kike anakopeshwa pesa?

Rafiki wa kike anakopeshwa pesa?

90% hawarejeshi mkuuu..Mimi Nina experience ya hizo mishe
Mfano NI SIKU TOFAUTI
SIKU YA KWANZA ALISEMA NISAIDIE 60K GESI IMEISHA NIKAMPA
2.SIKU NYINGINE NINA NJAA NISAIDIE HELA NIKANUNUE MCHELE NIKAMPA 30K
MARA YA TATU AKASEMA WEEK IJAYO NINA SHIDA NA LAKI TANO NINA 350K NIBUST 150K N VERY IMPORTANT NIKAMPA 100K
SASA HIVI
SMS YA KWANZA Mambo na xhida ndogo nisaidie 50000
Naandika nafuta naandika nafuta naandika nafuta sijui nimjibu Nini
SIYO DEMU SIO MPENZ N RAFIKI TU WA KAMA MIAKA MITATU
 
Wana jamii naombane ushauri nina rafiki angu wa kike tunapendana sana lakin sio mpenzi wangu sasa anahtaji nimkopeshe 100k so nafaa nimpe au nimuache.
Angalia usijekuwa unataka kuingilia majukumu ya mtu mwingine
Usikute kuna jamaa anajimegea halafu wewe uanze kumpa pesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si umesema mnapenda sana mkuu? Kwanini usimkopeshe sasa au nyinyi upendo wenu ni wa kusaidiana nini? Mapenzi hamfanyi umeshasema sasa mnapenda sana kwenye nini kama sio kwenye kusaidiana matatizo mbali mbali
 
Anakopesheka jamani kwani wanawake huwa mnatuonaje lakini
tapatalk_1587890294719.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom