Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,208
USIFANYE HUO UPUUZI

Uko na moyo wa dhahabu sana mkuu, yani sms ya kwanza "mambo nina shida ya hela?" Huyo tungemalizana baada ya hela ya gesi tu kisha ningemfungia vioo! Ukijiuliza wewe sio bwana wake sasa unafanyaje yasiokuhusu. Mi ningemuuliza hivi mchizi wako anafanya nini sasa kama majanga yote unanihusisha mimi?
Malipo yenu wengi ni kufunua barakoa ya kiunonimaana mipunga mnakuwa hamnaga! Sasa huoni kuna hatari ya kuliwa kimasihara
![]()
Sas ukimkopesha utapoteza nn mkuu???mpe tu

unavisa
Kama hujaoa huyo ndio mke.wanawake wanaujuzi mkubwa wa kukuweka karibu.
Kifuatacho ni kukupa penzi na wewe ndio utaomba mchezo.
Huruma sana.
Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi kuna amabae nilimkopesha pesa mingi tu mwisho nikaishia kula papuchi tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijakubali nimeamua kuachana nayo hiyo topic maana mtu anaongea kama ana uhakika

Yaaani unamkopesha mwanamke???? Hehehe, MKUU BORA KUBETI ARSENAL ANASHINDA KULIKO KUWAKOPESHA WANAWAKE, ni benki pekee na vikoba ndo hulipwa na wanawake
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipooo
Lend only when you can afford to loseWanajamii naombene ushauri. Nina rafiki angu wa kike tunapendana sana lakini sio mpenzi wangu, sasa anahitaji nimkopeshe 100,000/=
So nafaa nimpe au nimuache?
Sent using Jamii Forums mobile app
KabisaWe muulize akijibu hilo utajua pa kuanzia..Mambo ya kubebeshana mizigo ni mambo ya kizamani sana.