Rafiki wa kike anakopeshwa pesa?

Rafiki wa kike anakopeshwa pesa?

90% hawarejeshi mkuuu..Mimi Nina experience ya hizo mishe
Mfano NI SIKU TOFAUTI
SIKU YA KWANZA ALISEMA NISAIDIE 60K GESI IMEISHA NIKAMPA
2.SIKU NYINGINE NINA NJAA NISAIDIE HELA NIKANUNUE MCHELE NIKAMPA 30K
MARA YA TATU AKASEMA WEEK IJAYO NINA SHIDA NA LAKI TANO NINA 350K NIBUST 150K N VERY IMPORTANT NIKAMPA 100K
SASA HIVI
SMS YA KWANZA Mambo na xhida ndogo nisaidie 50000
Naandika nafuta naandika nafuta naandika nafuta sijui nimjibu Nini
SIYO DEMU SIO MPENZ N RAFIKI TU WA KAMA MIAKA MITATU
Uko na moyo wa dhahabu sana mkuu, yani sms ya kwanza "mambo nina shida ya hela?" Huyo tungemalizana baada ya hela ya gesi tu kisha ningemfungia vioo! Ukijiuliza wewe sio bwana wake sasa unafanyaje yasiokuhusu. Mi ningemuuliza hivi mchizi wako anafanya nini sasa kama majanga yote unanihusisha mimi?
 
L
Mimi nilimwazima 50K tumeishia kuwa wapenzi, leo naona anaomba nimuazime 100K afu hapo ni mpenzi najua hairudi, nimemuambia atulie kidogo kwanza Corona hii pesa haipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Lazma umle kimasihara maana kama mwanzo alishindwa kuwa na hio pesa hadi kufikia kukopa unatarajia atairudishaje? Na hapo ni tamaa tu labda kaona pochi nzuri ama nguo anataka akafanye shopping wala sio kuwa anafanyia biashara hio pesa.
 
Acha ufala bwana mdogo. Umsaidie sio umkopeshe.Ni wajinga sana kumkopa.Hawarudushi ni kutafuta lawama tu.

Siwezi kumkopesha msichana hela,kama kaomba nyingi sitampa ila zikiwa kidogo nampa.

Kuna fala alilia akiomba nimkopeshe nikamuuliza utanilipaje wakati huna shughuli yoyote,kajiumauma kumbe ananitegea na nyama yake nyekundu!!!Nikasepa kimoja.

Usiwe boya wewe, kwa hiyo hela unaweza piga manzi 3 za nguvu!!!

TUSIPOTOSHANE!!!Za kuambiwa changanya na zako.

Tahadhari,Corona inauwa!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Too local. Try to be smart
 
Rafiki wako ,mpaka umefikia hatua ya kusema mnapendana..ni rafiki huyo.


Nadhani kwa kuzingatia Kanuni ya "Urafiki ni Urafiki na Pesa ni Pesa "....

Nakushauri Mkopeshe kwa kua kaomba umkopeshe .


Mbona tunawakopesha Masela nabado wanatuzungusha tunabaki kujilaumu, sirudiii, sirudiii tena ???.

Alafu, ni ngumu mno kwa mtoto wakike kudhulumu.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio wa kike tu hata wa kiume. Rafiki yangu mmoja Nilimkopesha 500k mke wake alipata complication wakati wa kujifungua 2017 hadi leo katulia tu ukimkumbusha anakutumia eflu 10 kazi kupost yupo ofiini.
 
Uko na moyo wa dhahabu sana mkuu, yani sms ya kwanza "mambo nina shida ya hela?" Huyo tungemalizana baada ya hela ya gesi tu kisha ningemfungia vioo! Ukijiuliza wewe sio bwana wake sasa unafanyaje yasiokuhusu. Mi ningemuuliza hivi mchizi wako anafanya nini sasa kama majanga yote unanihusisha mimi?
Mkuuu Extrovert labda nitamuuliza hivyo nione anajibu NN...
NITALETA mrejesho aiseee..Ni kwl ana mshikaji wake...
SIO SIRI ANA BOA..
 
usithubutu kumkopesha..kama inawezekana we msaidie tu.kwa experience yangu wanawake ni wagumu sana kulipa madeni tena hasa akiwa anadaiwa na mwanaume.
 
Back
Top Bottom