Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,096
- 9,074
Hapana hakopesheki nikopeshe mimi tu mkuu
Haha ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoniKuna mmoja huyo dah! alikuja nlilia mbele za watu akanilipa nusu
90% hawarejeshi mkuuu..Mimi Nina experience ya hizo mishe
Mfano NI SIKU TOFAUTI
SIKU YA KWANZA ALISEMA NISAIDIE 60K GESI IMEISHA NIKAMPA
2.SIKU NYINGINE NINA NJAA NISAIDIE HELA NIKANUNUE MCHELE NIKAMPA 30K
MARA YA TATU AKASEMA WEEK IJAYO NINA SHIDA NA LAKI TANO NINA 350K NIBUST 150K N VERY IMPORTANT NIKAMPA 100K
SASA HIVI
SMS YA KWANZA Mambo na xhida ndogo nisaidie 50000
Naandika nafuta naandika nafuta naandika nafuta sijui nimjibu Nini
SIYO DEMU SIO MPENZ N RAFIKI TU WA KAMA MIAKA MITATU




Mimi nilimwazima 50K tumeishia kuwa wapenzi, leo naona anaomba nimuazime 100K afu hapo ni mpenzi najua hairudi, nimemuambia atulie kidogo kwanza Corona hii pesa haipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ufala bwana mdogo. Umsaidie sio umkopeshe.Ni wajinga sana kumkopa.Hawarudushi ni kutafuta lawama tu.Wana jamii naombane ushauri nina rafiki angu wa kike tunapendana sana lakin sio mpenzi wangu sasa anahtaji nimkopeshe 100k so nafaa nimpe au nimuache.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakopesheka jamani kwani wanawake huwa mnatuonaje lakini
Kama una 40/30k chukuwa then MPE.. Mwambie hizi nakupa tu My sina hela nimepigika.. Utakuwa umejinasua saaana kwenye hup msala
Si umesema mnapenda sana mkuu? Kwanini usimkopeshe sasa au nyinyi upendo wenu ni wa kusaidiana nini? Mapenzi hamfanyi umeshasema sasa mnapenda sana kwenye nini kama sio kwenye kusaidiana matatizo mbali mbali
Sasa kwanini unasema mnapendana sana?Pesa ni kituu kingine mazee bora tuombane vingine afu cha kushangaza nilishawahi muomba 10k akakataa na boom lilikuwa limetema
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana jamii naombane ushauri nina rafiki angu wa kike tunapendana sana lakin sio mpenzi wangu sasa anahtaji nimkopeshe 100k so nafaa nimpe au nimuache.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, hayaBro kumbuka tunatofautiana uchumi wewe kwako ndogo ila kwangu kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app