
Mkopeshe ili ufanye graduation ya urafiki wenu na kuingia kwenye urafiki mpya bora zaidi
Mkopeshe Kama unampa tu asipokulipa usivunje urafiki maana utalipwa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mtamalizana kivingine lakini sio kulipa kwa mtonyo kama ulivyo utoa 100k.
Sasa laki tu nayo unakopesha?
Ingekuwa Man Sawa, Ila Mwanamke Mpe tu
naunga mkono wazo la kumkopesha kwa muktadha huo tunza hizo sms za charts hasa meseji kuhusu hilo ombi


we ndo mjude
kwanza hakunaga urafiki wa ME na KE.
pili hiyo hela haiwezi kurudi ndg-zaid urafiki hewa utafika mwisho.
tatu acha kumpa hiyo laki ila fanya juu chini umpe MIMBA
Sent using Jamii Forums mobile app
kwanza hakunaga urafiki wa ME na KE.
pili hiyo hela haiwezi kurudi ndg-zaid urafiki hewa utafika mwisho.
tatu acha kumpa hiyo laki ila fanya juu chini umpe MIMBA
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao watu kurudisha ni wagumu sana. Sana sana ukimbana ataanza kujichekesha akulipe papuchi au akulate chenga za hapa na pale. Ukimbana sana atakulipa kwa shingo upande ila mazoea ndio yatakuwa yameisha hapo.
Digalu76
tunza hizo sms za charts hasa meseji kuhusu hilo ombi, hapa ni muhimu sana maana aibu ni muhimu sana hasa kupitia ushahidi
Wana jamii naombane ushauri nina rafiki angu wa kike tunapendana sana lakin sio mpenzi wangu sasa anahtaji nimkopeshe 100k so nafaa nimpe au nimuache.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao watu kurudisha ni wagumu sana. Sana sana ukimbana ataanza kujichekesha akulipe papuchi au akulate chenga za hapa na pale. Ukimbana sana atakulipa kwa shingo upande ila mazoea ndio yatakuwa yameisha hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usimkopeshe, mpe tu bila kumwambia kama unampa ili asipokurudishia usiumie wala isiharibu urafiki wenu, akikurudishia haya asiporudisha haya, ila jua kabisa hawalipi hao.
Sent using kidole gumba