Hivi unaweza kukaa na watu serious ukaleta sampling za hawa kina Diamond na wenzake kwenye swala la mahusiano kwamba kuna jema lolote la kujifunza kutoka kwao?Inawezekana Tu, Tuliona Diamond Alikuwa Mpenzi Wa Worlper Kisha Harmonize Akadili Na Ex Wa Bosi Wake(Worlper).
Yan wewe, usidhani mtu kuleta kitu huku ameshindwa kusolve, binafsi najitambua sana tu kuliko inavyoweza kufikiria. Kila kitu tungekua tunamalizana na akili zetu hili jukwaa lingeota ukurutu. Unadhani b4 jf sikuwah pata matatizo had hapa nilipofikia? That's y nimeeleza kitu kilivyo na kueleza msimamo wa ubongo wangu.Wanawake kwa namna hii mtasema sisi tunawajibu vibaya. Sasa wewe kwa akili yako kweli mtu hauna mahusiano nae ingawa ulikuwa unamjua, kaona umeachana na mchumba ako, anakuja anakupiga ofa ya ndoa baada ya mwaka mmoja na wewe usivyofikiri unakimbia mbio hadi Jf kuomba msaada wa kimawazo tena kwa mkwara mzito wa kutokejeliwa. Mengine muwe mnayafikiria na kuyanena ndani ya nafsi zenu, msiwe wavivu kiasi hiko!
trust your God and not your heart!.Kama sikuweza kwa kipindi chote hiki bas swez kusaliti ndoa yangu. I trust my heart!
Mtu mwenye malengo ya kuoa, hafai kupewa papuchi. Anapaswa kunyimwa ili awe na "muhu" wa kutimiza malengo yake. Lakini akipewa akala, ndipo "speed gorvaner" huzuia mwendo kabisa.ha ha si unajua wanawake yeye siyo bikra wala nini,wengine anawapa lakini mwingine anamnyima ili kuforce ndoa
Tazama kwa makini dhamira!Hello, habari zenu wapendwa? Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nilikua na mchumba angu (sio mpenzi na hatukuwahi kukutana kimwili) ambaye tumedumu kwa miaka miwili, hatukuwahi kugombana wala sikumfanyia kosa lolote kwa mtazamo wangu, nilimjali kwa kila kitu hadi marafiki zake wakawa wanamwambia kwamba wangetamani na wachumba wao wawe kama mimi.
Nilimpenda kwa vitendo, nilijitoa sana kwake, and alijua kwamba kweli nampenda. Sasa miezi kama miez 5 ilopita, alianza kumfukuzia dada mmoja hv, nilipomuuliza alinijibu vibaya vibaya, nikamvumilia bila kupunguza upendo wangu kwake, lakini kadri siku zilivyoenda aliendelea kuwa karibu sana na dada yule. Niliamua kumuuliza yule dada kama ana mahusiano na mchumba angu, alikataa kabisa japo alikiri kwamba alitongozwa na mchumba angu.
Lakini kwa walivyokuwa karibu sana, ilionekana tayari wana mahusiano. Hivi juzi tu nilipomuuliza mchumba angu khs mipango yetu alinambia kwamba "kama bado ulikua na malengo na mm delete, siwezi kumsaliti (........)wangu" alitaja jina lake, jambo ambalo liliniuma sana. Sikulia sababu nilikua nishaona direction ya uhusiano wetu. Bas, nilikubaliana na matokeo sababu sipendi kumlazimisha mtu ktk mahusiano.
Sasa, kazi ipo hapa... Mmoja wa marafiki za x wangu walioujua uhusiano wetu vyema anataka anioe (kwa mujibu wake). Nimemuuliza maswali baadhi lakini kubwa likiwa "unawezaje kumuoa mtu ambaye kabisa unajua alikua ni wa rafiki yako wa karibu sana"?
Huyu kaka amenijibu kwamba CV yangu inajiuza, anapenda nilivyokua namtendea mchumba angu, na anataka anioe next year.
Hapa nimebaki dilemma, hivi kweli ni busara kuolewa na rafiki wa ex wako? Ktk moyo wangu sidhani kama nampenda maana bado nina mawazo sijatulia kias cha kuanzisha mahusiano tena. Nahitaji busara zenu wapendwa. Busara zenu pamoja na maombi nayofanya yatanipa mwisho mzuri.
Kwa wenye midomo iso tohara tusameheaneni tu. Hili halinisaidii tu mleta mada bali na wengine kama huyu mleta mada.
Maisha yataendelea tu, kwani mlifunga ndoa kusema utaonekana vibaya? Wenzio huwa wanafata upendo mengine badae
Kazi ya moyo ni kusukuma damu tu.Miaka yote haujampa papuch kwnn?mwenzio kampa jamaa kanogewa.ila ushaur wng sikiliza moyo wako unataka nini.
Nn anataka mbuz kwenye gunia?Utu wangu n zaidi ya hcho unachofikiria. Kama kweli mtu ana lengo la kuoa, kwann atake ngono kwanza wakati huduma hyo atapata tu akioa? Kuna ulazima gani wa kufanya haraka kuonjana onjana?
kila la kheri mdogo wangu......Hakika Mungu ni mwema.....AmenNever happen, God never lie to me and never change his word. Atakayeshindwa kukubaliana nami bas sio wangu. Mlengwa atapatikana tu.
Amini nakwambia ukiolewa na huyo jamaa basi undugu wa urafiki mliokuwa ano na x wako unageuka kuwa uadui mkubwa sanaHello, habari zenu wapendwa? Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nilikua na mchumba angu (sio mpenzi na hatukuwahi kukutana kimwili) ambaye tumedumu kwa miaka miwili, hatukuwahi kugombana wala sikumfanyia kosa lolote kwa mtazamo wangu, nilimjali kwa kila kitu hadi marafiki zake wakawa wanamwambia kwamba wangetamani na wachumba wao wawe kama mimi.
Nilimpenda kwa vitendo, nilijitoa sana kwake, and alijua kwamba kweli nampenda. Sasa miezi kama miez 5 ilopita, alianza kumfukuzia dada mmoja hv, nilipomuuliza alinijibu vibaya vibaya, nikamvumilia bila kupunguza upendo wangu kwake, lakini kadri siku zilivyoenda aliendelea kuwa karibu sana na dada yule. Niliamua kumuuliza yule dada kama ana mahusiano na mchumba angu, alikataa kabisa japo alikiri kwamba alitongozwa na mchumba angu.
Lakini kwa walivyokuwa karibu sana, ilionekana tayari wana mahusiano. Hivi juzi tu nilipomuuliza mchumba angu khs mipango yetu alinambia kwamba "kama bado ulikua na malengo na mm delete, siwezi kumsaliti (........)wangu" alitaja jina lake, jambo ambalo liliniuma sana. Sikulia sababu nilikua nishaona direction ya uhusiano wetu. Bas, nilikubaliana na matokeo sababu sipendi kumlazimisha mtu ktk mahusiano.
Sasa, kazi ipo hapa... Mmoja wa marafiki za x wangu walioujua uhusiano wetu vyema anataka anioe (kwa mujibu wake). Nimemuuliza maswali baadhi lakini kubwa likiwa "unawezaje kumuoa mtu ambaye kabisa unajua alikua ni wa rafiki yako wa karibu sana"?
Huyu kaka amenijibu kwamba CV yangu inajiuza, anapenda nilivyokua namtendea mchumba angu, na anataka anioe next year.
Hapa nimebaki dilemma, hivi kweli ni busara kuolewa na rafiki wa ex wako? Ktk moyo wangu sidhani kama nampenda maana bado nina mawazo sijatulia kias cha kuanzisha mahusiano tena. Nahitaji busara zenu wapendwa. Busara zenu pamoja na maombi nayofanya yatanipa mwisho mzuri.
Kwa wenye midomo iso tohara tusameheaneni tu. Hili halinisaidii tu mleta mada bali na wengine kama huyu mleta mada.