Rafiki wa ex wangu ananitaka niwe mkewe

Rafiki wa ex wangu ananitaka niwe mkewe

OLEWA WEWE!
mambo ya kukaa kumfikiria mtu aliyekutoa kafara kisa nini?
Sasa ulitegemea mwanaume gani rijali akae miaka miwili bila kukojowa amsubili yeye?

Mimi nadhani alikuwa anasubili meli uwanja wa ndege na pia amesahau kwamba idadi ya wanawake ni wengi kuliko wanaume.
 
Never happen, God never lie to me and never change his word. Atakayeshindwa kukubaliana nami bas sio wangu. Mlengwa atapatikana tu.
Subiri tu miaka inavyosonga mbele utaanza kupunguza masharti na vigezo kimoja baada ya kingine.

Wewe si wa kwanza, hata mzee wa upako anadanganya mazezeta lakini tunapiga naye pombe kama kawaida.

Wanavuliwa chupi masista waliweka nadhiri na Mungu ya kutoingiliwa na mwanaume milele ndio sembuse wewe? Who hell are you?
 
Hello, habari zenu wapendwa? Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nilikua na mchumba angu (sio mpenzi na hatukuwahi kukutana kimwili) ambaye tumedumu kwa miaka miwili, hatukuwahi kugombana wala sikumfanyia kosa lolote kwa mtazamo wangu, nilimjali kwa kila kitu hadi marafiki zake wakawa wanamwambia kwamba wangetamani na wachumba wao wawe kama mimi.

Nilimpenda kwa vitendo, nilijitoa sana kwake, and alijua kwamba kweli nampenda. Sasa miezi kama miez 5 ilopita, alianza kumfukuzia dada mmoja hv, nilipomuuliza alinijibu vibaya vibaya, nikamvumilia bila kupunguza upendo wangu kwake, lakini kadri siku zilivyoenda aliendelea kuwa karibu sana na dada yule. Niliamua kumuuliza yule dada kama ana mahusiano na mchumba angu, alikataa kabisa japo alikiri kwamba alitongozwa na mchumba angu.

Lakini kwa walivyokuwa karibu sana, ilionekana tayari wana mahusiano. Hivi juzi tu nilipomuuliza mchumba angu khs mipango yetu alinambia kwamba "kama bado ulikua na malengo na mm delete, siwezi kumsaliti (........)wangu" alitaja jina lake, jambo ambalo liliniuma sana. Sikulia sababu nilikua nishaona direction ya uhusiano wetu. Bas, nilikubaliana na matokeo sababu sipendi kumlazimisha mtu ktk mahusiano.

Sasa, kazi ipo hapa... Mmoja wa marafiki za x wangu walioujua uhusiano wetu vyema anataka anioe (kwa mujibu wake). Nimemuuliza maswali baadhi lakini kubwa likiwa "unawezaje kumuoa mtu ambaye kabisa unajua alikua ni wa rafiki yako wa karibu sana"?
Huyu kaka amenijibu kwamba CV yangu inajiuza, anapenda nilivyokua namtendea mchumba angu, na anataka anioe next year.

Hapa nimebaki dilemma, hivi kweli ni busara kuolewa na rafiki wa ex wako? Ktk moyo wangu sidhani kama nampenda maana bado nina mawazo sijatulia kias cha kuanzisha mahusiano tena. Nahitaji busara zenu wapendwa. Busara zenu pamoja na maombi nayofanya yatanipa mwisho mzuri.

Kwa wenye midomo iso tohara tusameheaneni tu. Hili halinisaidii tu mleta mada bali na wengine kama huyu mleta mada.
kwanini ulikuwa hujampa jamaa kibubu miaka 2 ya uhusiano wenu?labda tuanzie hapo
 
Watu wakifanya kabla ya ndoa kosa wasipofanya kosa hivi binadamu tukoje lkn!!
Unaongelea nyakati zipi? Hizi si enzi za nanabii bro,

Kuonjana ni muhimu inaweza kumsaidia mdada vilevile asije kuolewa na hanithi, mnakaa vikao mnasumbuwa watu kuandaa sherehe kubwa wanandoa hawajawahi hata kupiga friend game mara malalamiko yanaanza mume wangu anifikishi, mara mume wangu ya kupepea and so and so, ni muhimu sana kwa mtoto wa kike kujuwa dhahiri shahiri anaolewa na mtu wa aina gani.

Kuna wanaume wengine wana miukuni kama punda na kuna wadada wana nyuchi zenye maumbile madogo, sasa hizi friend game zinasaidia kuyajuwa yote hayo na kuridhika nayo kwamba huyu ndio naenda kuishi naye for rest of my life.

Zipo kesi nyingi sana mtaani vijana wanashindwa kuwakojolesha wake zao na bado ni vijana wadogo hawana kisukari wala BP sasa wakifika miaka hamsini mke si anaweza kuishi kama mjane tu mpaka akakojoleshwe nje na masela? Nadhani kwa ulimwengu huu hasa mijini kuonjana ni muhimu sana ila with only one condition ni lazima mkapime afya wote wawili kama kweli wote mko serious kuingia kwenye ndoa.

Utaratibu ni uleule unakwenda kujilipuwa peke yako ukipata majibu mazuri ndio unapanga sasa appointment na mwenza wako kwwnda kupima kwa pamoja. Note usijilipuwe kabla hujajicheck peke yako kwanza.
 
Hello, habari zenu wapendwa? Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nilikua na mchumba angu (sio mpenzi na hatukuwahi kukutana kimwili) ambaye tumedumu kwa miaka miwili, hatukuwahi kugombana wala sikumfanyia kosa lolote kwa mtazamo wangu, nilimjali kwa kila kitu hadi marafiki zake wakawa wanamwambia kwamba wangetamani na wachumba wao wawe kama mimi.

Nilimpenda kwa vitendo, nilijitoa sana kwake, and alijua kwamba kweli nampenda. Sasa miezi kama miez 5 ilopita, alianza kumfukuzia dada mmoja hv, nilipomuuliza alinijibu vibaya vibaya, nikamvumilia bila kupunguza upendo wangu kwake, lakini kadri siku zilivyoenda aliendelea kuwa karibu sana na dada yule. Niliamua kumuuliza yule dada kama ana mahusiano na mchumba angu, alikataa kabisa japo alikiri kwamba alitongozwa na mchumba angu.

Lakini kwa walivyokuwa karibu sana, ilionekana tayari wana mahusiano. Hivi juzi tu nilipomuuliza mchumba angu khs mipango yetu alinambia kwamba "kama bado ulikua na malengo na mm delete, siwezi kumsaliti (........)wangu" alitaja jina lake, jambo ambalo liliniuma sana. Sikulia sababu nilikua nishaona direction ya uhusiano wetu. Bas, nilikubaliana na matokeo sababu sipendi kumlazimisha mtu ktk mahusiano.

Sasa, kazi ipo hapa... Mmoja wa marafiki za x wangu walioujua uhusiano wetu vyema anataka anioe (kwa mujibu wake). Nimemuuliza maswali baadhi lakini kubwa likiwa "unawezaje kumuoa mtu ambaye kabisa unajua alikua ni wa rafiki yako wa karibu sana"?
Huyu kaka amenijibu kwamba CV yangu inajiuza, anapenda nilivyokua namtendea mchumba angu, na anataka anioe next year.

Hapa nimebaki dilemma, hivi kweli ni busara kuolewa na rafiki wa ex wako? Ktk moyo wangu sidhani kama nampenda maana bado nina mawazo sijatulia kias cha kuanzisha mahusiano tena. Nahitaji busara zenu wapendwa. Busara zenu pamoja na maombi nayofanya yatanipa mwisho mzuri.

Kwa wenye midomo iso tohara tusameheaneni tu. Hili halinisaidii tu mleta mada bali na wengine kama huyu mleta mada.
Usimanue mpka akuoe usije ukamalizwa na marafiki zake wote!
 
Unaongelea nyakati zipi? Hizi si enzi za nanabii bro,

Kuonjana ni muhimu inaweza kumsaidia mdada vilevile asije kuolewa na hanithi, mnakaa vikao mnasumbuwa watu kuandaa sherehe kubwa wanandoa hawajawahi hata kupiga friend game mara malalamiko yanaanza mume wangu anifikishi, mara mume wangu ya kupepea and so and so, ni muhimu sana kwa mtoto wa kike kujuwa dhahiri shahiri anaolewa na mtu wa aina gani.

Kuna wanaume wengine wana miukuni kama punda na kuna wadada wana nyuchi zenye maumbile madogo, sasa hizi friend game zinasaidia kuyajuwa yote hayo na kuridhika nayo kwamba huyu ndio naenda kuishi naye for rest of my life.

Zipo kesi nyingi sana mtaani vijana wanashindwa kuwakojolesha wake zao na bado ni vijana wadogo hawana kisukari wala BP sasa wakifika miaka hamsini mke si anaweza kuishi kama mjane tu mpaka akakojoleshwe nje na masela? Nadhani kwa ulimwengu huu hasa mijini kuonjana ni muhimu sana ila with only one condition ni lazima mkapime afya wote wawili kama kweli wote mko serious kuingia kwenye ndoa.

Utaratibu ni uleule unakwenda kujilipuwa peke yako ukipata majibu mazuri ndio unapanga sasa appointment na mwenza wako kwwnda kupima kwa pamoja. Note usijilipuwe kabla hujajicheck peke yako kwanza.
Pole.
 
Shangazi KAMBI popote muhimu ni kweli atakutunza au ni upendo wa Leo n kesho utachuja kwake?km kweli jiweke Bi dada ufunge ndoa n baharia uyo
 
Pole mimi au wewe? Am married with kids.
Just keep on kissing the wind you will get best results.
Pole kwa fikra zako. Mimi time yangu ipo tu kama ilivyokuja kwako, halafu huwez compete nami kwa suala la familia, unless tungekua rika moja. I'm not old enough to panic.
 
Pole mimi au wewe? Am married with kids.
Just keep on kissing the wind you will get best results.
image.jpg

😀😀😀😀😀
 
Pole sana Lyn Vivac kwa yaliyokukuta.

Kwenye hili ulilonalo, mi nakushauri usitoe jibu la YES au NO, jitulize kuwa na muda wako, maisha bado ni matamu sana.... sikiliza MOYO unasemaje.
Nimemaliza kwa wewe.

Generally,
Mwanaume akiwa kwenye mahusiano na mwanamke wake kwa muda mrefu, akavumilia bila kupewa, akaja akakutana BWAWA lazima asikitike sana, hata kama ni ndani ya ndoa upendo unaweza kushuka from 90% to 20%, hutakaa umweleze kitu tena akakuelewa.

Ni tabia ya wanawake, kujifanya kukaza sana sana sana hata kama anaona the guy is serious with her, honest nk, mwishowe jamaa anaweza kujikuta mikononi mwa unexpected with less qualities kuliko hata ww ila akawa hasikii. Mwanamke baada ya kuona hiyo ndo atajikakamua kuwapa hata rafiki wa x ili wamuoe ila hapo ndo utakuwa mwanzo wa kuanza kumegwa na kuachwa. Anashtuka ana miaka 26 alishaweka profile watu watatu tofauti na wote walishakula na kuondoka. Great disappointment inaanzia hapo, anakosa kujithamini anaanza kuona ni bora angekuwa anakusanya pesa mara zote zile. wakati kama ndo anaanza kuwa makini kuomba hela, anaishia kukopwa na kuliwa kwani rules of the game anakuwa hajui mwanzoni. Anajikuta vyoote alivowahi kujisemea moyoni kwamba sitakaa nivifanye kashavifanya.

Msibane sana jamani, tupeni, kwa masharti na makubaliano maalum, tutathamini na kuwaheshimu sana... hakika hatutawaacha muaibike
 
Kwa title yako tu nmegundua nyie watoto hamhitaj mapnz mnachotaka ni hifadhi tu. Vingnevyo subir mume utapata kuliko kudhalilisha utu wako. Hivi mnajisikiaje kuwatazama watu wawil mbele yako na wamekuvua ch* p wote tena marafiki.

Akikuoa huyo ipo lazima tu atakosa imani na wew hususan utakapoonesha ukarib na marafiki zake. Jitambue dada...
 
Anaweza kuchukua maumivu yako ya kuachwa akijua utaamini kwa kila jambo. Cha muhimu jipe muda na kufanya tathmini usije ukaangukia kwenye bega kwa ajili ya kubembelezwa
 
Inawezekana Tu, Tuliona Diamond Alikuwa Mpenzi Wa Worlper Kisha Harmonize Akadili Na Ex Wa Bosi Wake(Worlper).
 
Back
Top Bottom