Rafiki wa ex wangu ananitaka niwe mkewe

Rafiki wa ex wangu ananitaka niwe mkewe

Amini nakwambia ukiolewa na huyo jamaa basi undugu wa urafiki mliokuwa ano na x wako unageuka kuwa uadui mkubwa sana
Hata huyo bwana hatakuwa na amani mbele za x wako kwa kudhani kwamba huenda mkasameheana na kuamua kusaliti
Hayo yote nilimwambia ila ndo akawa kama vile haelewi kang'ang'ana tu kunioa kwamba nina sifa anazohitaj. Halafu uadui utakujaje wakat yy ashaniacha akapata mwingine? Anyway, mi cwez kua nae nisijeleta uhasama.
 
Hayo yote nilimwambia ila ndo akawa kama vile haelewi kang'ang'ana tu kunioa kwamba nina sifa anazohitaj. Halafu uadui utakujaje wakat yy ashaniacha akapata mwingine? Anyway, mi cwez kua nae nisijeleta uhasama.
Muulize je ana wivu?
Kama upo ni kwa kiasi gani?
Kumbuka akupendae kiasi hicho means ana wivu na wewe pia
FUATA MOYO WAKO UNASEMAJE KAMA UNAMPENDA PIA OANENI TU HAMNA TABU
 
Nimekuja kugundua wanawake kwa kiasi kikubwa huolewa na wanaume wasiowapenda, no wonder wachepukaji wanawake siku hizi ni wengi.
 
Back
Top Bottom