Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
Alikuwa ni rafiki ambae ananichangamkia sana haipiti siku bila kunitumia meseji za salamu, alikuwa anapenda tuchat, kukumbushana visa vya shuleni, n.k.
Kiukweli niwe muwazi kiuchumi tumepishana ila hatuchunguzani sana, tunajuana vichache yeye anajua tu kwamba mimi nina biashara kadhaa ambazo hajawai kuniuliza kwa ndani japo analijua duka langu moja na mimi najua tu kwamba shughuli anayofanya anauza vinywaji baridi sehemu flani hivi kaweka kioski haingii gharama za kodi yoyote.
Sasa mwezi iliyopita kuna sehemu karibu na eneo alipo huyo rafiki yangu kuna frem nzuri kuna mtu alikuwa anaiacha, mimi kulingana na biasharra nayoifanya nikaona niongezee tawi hapo maana hio sehemu ina wateja wa bidhaa nazoiuza.
Wakati mafundi wanakianaa chumba nilifika kumtembelea rafiki tukawa tunapiga stori za hapa na pale, rafiki naona alishapiga research kwamba kaniona na mafundi kwenye fremu, wala sikukataa nlilikubali, alianza kuwa interested sana na biashara nayotaka kufanya zaidi kuzidi mazungumzo ya kawaida.
Kuweka stori iwe fupi mimi hapo kwenye frem huwa sishindi ni jioni tu huwa napitia hesabu, biashara si haba nimenunua pikipiki huwa inapiga deluvery za kutosha tu kwa wateja wa maeneo hayo.
Ishu ni kwamba rafiki yangu kwa sasa ni kama kapoa sana, sio kama zamani.
Kwa namna yoyote hii hali inahusiana na chochote milichoorodhesha?
Kiukweli niwe muwazi kiuchumi tumepishana ila hatuchunguzani sana, tunajuana vichache yeye anajua tu kwamba mimi nina biashara kadhaa ambazo hajawai kuniuliza kwa ndani japo analijua duka langu moja na mimi najua tu kwamba shughuli anayofanya anauza vinywaji baridi sehemu flani hivi kaweka kioski haingii gharama za kodi yoyote.
Sasa mwezi iliyopita kuna sehemu karibu na eneo alipo huyo rafiki yangu kuna frem nzuri kuna mtu alikuwa anaiacha, mimi kulingana na biasharra nayoifanya nikaona niongezee tawi hapo maana hio sehemu ina wateja wa bidhaa nazoiuza.
Wakati mafundi wanakianaa chumba nilifika kumtembelea rafiki tukawa tunapiga stori za hapa na pale, rafiki naona alishapiga research kwamba kaniona na mafundi kwenye fremu, wala sikukataa nlilikubali, alianza kuwa interested sana na biashara nayotaka kufanya zaidi kuzidi mazungumzo ya kawaida.
Kuweka stori iwe fupi mimi hapo kwenye frem huwa sishindi ni jioni tu huwa napitia hesabu, biashara si haba nimenunua pikipiki huwa inapiga deluvery za kutosha tu kwa wateja wa maeneo hayo.
Ishu ni kwamba rafiki yangu kwa sasa ni kama kapoa sana, sio kama zamani.
Kwa namna yoyote hii hali inahusiana na chochote milichoorodhesha?