This is beyond extra ordinary!
Huyu jamaa ameniogopesha aisee.
Heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Kwenye RnB huyu siyo King ni god; hana mpinzani aisee.
Huyu jamaa sijui kaumbwaje, wengine wangekuwa washazimia.
Mungu kawapa watu weusi vipaji vikubwa sana has a kwenye kuimba, hili hata shetani analijua.
kwenye music industry ya Marekani weusi wanamchango mkubwa sana. wameanzisha Rock, blues, hip hop, RnB, jazz na soul . pia kwenye country wamechangia Banjo.
This is beyond extra ordinary!
Huyu jamaa ameniogopesha aisee.
Heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Kwenye RnB huyu siyo King ni god; hana mpinzani aisee.
Huyu jamaa sijui kaumbwaje, wengine wangekuwa washazimia.
Mungu kawapa watu weusi vipaji vikubwa sana has a kwenye kuimba, hili hata shetani analijua.
Nikusaidie kuhusu kuunga unga picha Mimi ni cinematographer nafahamu vizuri picha zilizoungwa (cutaways) na zile halisi sasa hizo ni halisi Fanya hivi google hayo mashindano ndo utampata vizuri huyo r KellyNa mimi nimeshangaa kama hiyo aaaaah.. aaaahhhhh.... aaaaah siyo ya kuungaunga kwani mtiririko wa sauti na picha ni kama vinajirudiarudia. Na kama siyo vya kuungaunga kumaanisha kwamba R. Kelly katumia pumzi tu kwa dakika zote hizo, basi nasikitika kusema jamaa (R. Kelly) anatakiwa kupimwa kuthibitisha kama siyo kichaa au kama hatumii sigara kubwa!! Its really ineffable!
Sio kweliKitaalamu tunasema the video is "looped".
hisia tuu mkuu...Unafanyaje mpaka machozi yanatiririka?
Joe mkali ila hapa anasandaHatar lakin kiboko yake joe tu uyo
This is beyond extra ordinary!
Huyu jamaa ameniogopesha aisee.
Heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Kwenye RnB huyu siyo King ni god; hana mpinzani aisee.
Huyu jamaa sijui kaumbwaje, wengine wangekuwa washazimia.
Mungu kawapa watu weusi vipaji vikubwa sana has a kwenye kuimba, hili hata shetani analijua.
Singeli..Ndo ujinga gani huu anaouimbaaa