TRUE TANZANIAN
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 433
- 472
Huyu jamaa hapana aisehhh he is the best the king himself dah nimezidi kumshangaa
Daaaaaah! Quite different! Alwayz the best!
Huyu jamaa hapana aisehhh he is the best the king himself dah nimezidi kumshangaa
Duuh this is amazing... nimejikuta machozi yaki tiririka
Daaaaaah! Quite different! Alwayz the best!
Mhhhhh nimebaki kuduwaa ka alivyoduwaa yule babu
KhaaaA[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] ....is this isht for real!!!!!!!.....siamini masikio yangu.
Hii ni zaidi ya ajabu asee!!
kui dada yangu njoo uone maajabu duniani hapa!
Cha kusikitisha hiki kitu huwezi kusikia kwenye media kubwa kubwa.
Angefanya mtu kama Adele kingeingia kwenye GUINESS WORLD RECORD!
Mbona hata kwenye media haujapigwa Promo.
Lakini angefanya mzungu tungesikia, jinsi inavyopigwa promo.
Mimi niliiona hiyo kwenye NBC sasa nikajua nitaikuta kwenye mitandao lakini wapi.
Itabidi nidownload Compettiton yote ili niipate yote kama clip imekuwa ngumu kupatikana.
Mtoa uzi umetisha, hyo vdeo ilivyoungwa mpaka raha. Hakuna kitu kama hyo
Na mimi nimeshangaa kama hiyo aaaaah.. aaaahhhhh.... aaaaah siyo ya kuungaunga kwani mtiririko wa sauti na picha ni kama vinajirudiarudia. Na kama siyo vya kuungaunga kumaanisha kwamba R. Kelly katumia pumzi tu kwa dakika zote hizo, basi nasikitika kusema jamaa (R. Kelly) anatakiwa kupimwa kuthibitisha kama siyo kichaa au kama hatumii sigara kubwa!! Its really ineffable!Mtoa uzi umetisha, hyo vdeo ilivyoungwa mpaka raha. Hakuna kitu kama hyo
Na mimi nimeshangaa kama hiyo aaaaah.. aaaahhhhh.... aaaaah siyo ya kuungaunga kwani mtiririko wa sauti na picha ni kama vinajirudiarudia. Na kama siyo vya kuungaunga kumaanisha kwamba R. Kelly katumia pumzi tu kwa dakika zote hizo, basi nasikitika kusema jamaa (R. Kelly) anatakiwa kupimwa kuthibitisha kama siyo kichaa au kama hatumii sigara kubwa!!
This is beyond extra ordinary!
Huyu jamaa ameniogopesha aisee.
Heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Kwenye RnB huyu siyo King ni god; hana mpinzani aisee.
Huyu jamaa sijui kaumbwaje, wengine wangekuwa washazimia.
Mungu kawapa watu weusi vipaji vikubwa sana has a kwenye kuimba, hili hata shetani analijua.
Unafanyaje mpaka machozi yanatiririka?Duuh this is amazing... nimejikuta machozi yaki tiririka