Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Nimesikia kwenye magazeti ya leo asubuhi kuwa Shekh maarufu na mwanasiasa, kada wa CCM Mtopea alifariki juzi na kuzikwa jana huko Temeke.
Shekh Mtopea namkumbuka sana katika mambo mengi ila kubwa ni ushiriki wake katika uchaguzi mdogo wa Temeke miaka ya 1990, ambako Mrema alimbwaga Sisco Mtiro wa CCM. Mtopea na Ditto Mzuzuri walikuwa waigizaji muhimu katika kampeni za uchaguzi huo.
Mungu aiweke roho ya Shekh Mtopea mahali pema pepono, AMEN!
Shekh Mtopea namkumbuka sana katika mambo mengi ila kubwa ni ushiriki wake katika uchaguzi mdogo wa Temeke miaka ya 1990, ambako Mrema alimbwaga Sisco Mtiro wa CCM. Mtopea na Ditto Mzuzuri walikuwa waigizaji muhimu katika kampeni za uchaguzi huo.
Mungu aiweke roho ya Shekh Mtopea mahali pema pepono, AMEN!