kweli hizi ID na real name inapaswa member ajue jinsi ya kujitambulisha angalau kwa member mmoja,
lakini hii yote ya kufichaficha inatokana na wtu kutojiamini ama kuwa na wsiwasi wa kushughulikiwa kwa njia moja ama nyingine
mathalani sisi tuko ofisini (Dept) moja wana JF zaidi ya sita lakini hakuna mtu anaejua ID ya mwningine na kila mtu anafanya ni siri,
NAWAOMBA NDUGU ZANGU KWA SABABU TUMESHAINGIA HUMU JF TUJARIBU KUANGALIA NI NANI AMBAYE UNAENDANA NAE (KIMISIMAMO, KIUUANDISHI, HOBBIES NK), BASI TUJARIBU KUJENGA URAFIKI WA KARIBU ILI HATA KAMA UTAKAPOPATA TATIZO HUYO ANAYEKUFAHAMU ATAWAJULISHA MEMBER WENGINE
KUNA MEMBA HUMU ALISHAPATA MSIBA WA BABU YAKE ARUSHA, NA BAADA YA KUWEKA HUKU AKAJIKUTA YUPO NA NDUGU YAKE AMBAYE ALIKUWA ANAMWONA KILA SIKU HUMU JF
RIP ABUU