R.I.P Malema Christopher Mpyila

R.I.P Malema Christopher Mpyila

Jaslaws

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2011
Posts
6,016
Reaction score
5,300
Sikuwai kujua user name yake hapa ila huyu ni mwanajukwaa hapa JamiiForums.

Ni mwenzetu alikuwa ni kijana mchapakazi, Mwanasheria kijana ndo kwanza alianza kuziona njia za mafanikio.Mungu ameamua kumuita kwake.

Katika familia yao walikua wamebaki watoto wawili tu.Mungu kaamua kuwaita wote kwa Siku moja.

Hawa ndugu zetu wamepata ajari ya gari uko Kigamboni baada ya gari yao kulivaa Lori na wote kufariki dunia.

Screenshot from 2016-08-09 09:39:48.png


RIP Malema na mdogo wetu Stella.
 

Attachments

  • Screenshot from 2016-08-09 09:36:34.png
    Screenshot from 2016-08-09 09:36:34.png
    49.8 KB · Views: 83
It's so sad Mungu awajalie roho ya uvumilivu wanafamilia.R.I.P
 
Dah so sad,Mwenyezi Mungu awarehemu marehemu wapate pumziko la milele.
 
Sisi Sote Ni Wamwenyezi MUNGU, Na Sote Ni Wenye Kurejea Kwake.
 
Poleni sana wafiwa! Pumzika kwa amani Christopher.
 
Poleni wafiwa
Imetokea lini ajali hii ya kusikitisha namna hii.
RIP brother and sister
 
Poleni wafiwa
Imetokea lini ajali hii ya kusikitisha namna hii.
RIP brother and sister
Imetokea jana jioni walikua wanatoka kwenye mapumziko ya nanenane.!!
 
pole wana jf pamoja na familia zao bila shaka mods wanafahamu id yake humu,rest in peace malemas
 
Back
Top Bottom