Alikuwa anasoma UDSMJapo ameshatangulia mbele ya haki ila kinachonishangaza kama siyo kunisikitisha tu ni kwamba mpaka sasa haijulikani anasoma Chuo gani na anaishi wapi isipokuwa kila mmoja anatiririka na anaserereka ajuavyo Yeye.
MkuuAliyeleta taarifa wa Kwanza kabisa kwa ' Kiherehere ' chake alituaminisha kabisa kwamba alikuwa ni Mwanafunzi wa UDSM na nina wasiwasi muda si mrefu kuna Watu watakuja na kusema ni Mwanafunzi wa TEOFILO Kisanji na wengine VETA Keko na hata wa KAM College.
NITJapo ameshatangulia mbele ya haki ila kinachonishangaza kama siyo kunisikitisha tu ni kwamba mpaka sasa haijulikani anasoma Chuo gani na anaishi wapi isipokuwa kila mmoja anatiririka na anaserereka ajuavyo Yeye.
Acha upumbavu na ujinga..Aliyeleta taarifa wa Kwanza kabisa kwa ' Kiherehere ' chake alituaminisha kabisa kwamba alikuwa ni Mwanafunzi wa UDSM na nina wasiwasi muda si mrefu kuna Watu watakuja na kusema ni Mwanafunzi wa TEOFILO Kisanji na wengine VETA Keko na hata wa KAM College.
Alikua anasoma National institute of transport (nit) pale mabibo mwisho ama relini ama kinaitwa chuo cha usafirishaji. Course procurement mwaka wa kwanzaJapo ameshatangulia mbele ya haki ila kinachonishangaza kama siyo kunisikitisha tu ni kwamba mpaka sasa haijulikani anasoma Chuo gani na anaishi wapi isipokuwa kila mmoja anatiririka na anaserereka ajuavyo Yeye.
Acha upumbavu na ujinga..
Japo ameshatangulia mbele ya haki ila kinachonishangaza kama siyo kunisikitisha tu ni kwamba mpaka sasa haijulikani anasoma Chuo gani na anaishi wapi isipokuwa kila mmoja anatiririka na anaserereka ajuavyo Yeye.
Aliyeleta taarifa wa Kwanza kabisa kwa ' Kiherehere ' chake alituaminisha kabisa kwamba alikuwa ni Mwanafunzi wa UDSM na nina wasiwasi muda si mrefu kuna Watu watakuja na kusema ni Mwanafunzi wa TEOFILO Kisanji na wengine VETA Keko na hata wa KAM College.
Inasemekana alikuwa mwanafunzi wa NIT mwaka wa kwanza akisomea procurements & logistics. Mkuu wa chuo inasemekana kasema, marehemu aliaga kuwa amaenda field bagamoyo.Japo ameshatangulia mbele ya haki ila kinachonishangaza kama siyo kunisikitisha tu ni kwamba mpaka sasa haijulikani anasoma Chuo gani na anaishi wapi isipokuwa kila mmoja anatiririka na anaserereka ajuavyo Yeye.
Punguza ujuaji.
Ila kazuri, Ngweah atakasumbua sana huko alikoenda.R.I.P![]()
Inasemekana alikuwa mwanafunzi wa NIT mwaka wa kwanza akisomea procurements & logistics. Mkuu wa chuo inasemekana kasema, marehemu aliaga kuwa amaenda field bagamoyo.
Anasoma chuo cha taifa cha usafirishaji (NIT) bachelor in logistics and transport management, na pia yupo first yearJapo ameshatangulia mbele ya haki ila kinachonishangaza kama siyo kunisikitisha tu ni kwamba mpaka sasa haijulikani anasoma Chuo gani na anaishi wapi isipokuwa kila mmoja anatiririka na anaserereka ajuavyo Yeye.
Kosa sio yeye kuzunguka kwenye daladala, kosa ni la polisi kufyatua risasi ovyo kwa watu ambao hawakubeba hata panga mwishoKwahiyo kumbe Field yake alikuwa anaifanyia mjini na katika Madaladala badala ya huko Bagamoyo kama ambavyo alisema? Kazi ipo hakyanani!
Mlaumu Mwenyezi Mungu aliyenifanya niwe na maarifa mengi na uwezo mkubwa wa kufikiri ambao kwa bahati mbaya sana na pengine alijua Wewe haukufai hakukupa na badala yake akaamua tu kukubariki na huo Ujinga wako uliokutukuka na unaokutesa kama siyo Kukusumbua.
R.I.P![]()